Kwa nini hauolewi?

Kwa nini hauolewi?

Hata kuzaa pia bado ni majaliwa wala si kama udhaniavyo ingawa nakutakia kila la heri Mungu akubariki uzae watoto wazuri
Hahaa, kwani miaka 30 ndyo niaje niaje?, Mimi nna 30 now na sioni hata dalili so nianze kuwapigia miluzi [emoji30] [emoji30] . wakati sahihi ni wakati wa Bwana hivo hata nikiwa 40s wakati ukifika ntaolewa tuu. Ila ntakimbizana tu na menopause ntazaa faster faster vitoto vyangu vitano[emoji3] [emoji3]
 
Kila kitu nimipango ya mungu...
It's like saying mbna ni mwanaume anaejituma, mkweli, anaelimu lakini hapati kazi!?
Kila jambo linakuja kwa wakati wake. Mungu akisema bado huezi fanya lolote na akisema ndio basi hakuna wa kumpinga.
 
Back
Top Bottom