Lyampinga
Senior Member
- Apr 13, 2008
- 145
- 61
Nimepata uhakika elimu bure inawezekana baada ya kumsikiliza Dr. Slaa. Kama JK anaweza kusambaza picha zake nchi nzima kwenye nyumba za maskini zilizoezekwa kwa nyasi, kwa nini Dr. Slaa asiweze kusambaza elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha sita nchi nzima?
Kwanza pesa kusambaza za kusambaza sura yake kwenye mabango nchi nzima zimepatikania wapi?
Hiyo hela ya mabango ya JK ni hela ya KILIMO KWANZA, wewe subiri uchaguzi uishe, na mabomu yaanze kulipuka. Noni wa TIB kajitayarisha kukimbia nchi tayari, tutarudi kama mambo ya Balali sasa.