Jile79 umesema CCM ina hofu kwa vile ina mgombea dhaifu kivipi kiafya au, hebu tueleze.Ina mgombea dhaifu kikwete ambay serikali yake ilitegemea kwa kiasi kikubwa dr.slaa atasema nini...kwa maana nyingine kwa wale waelewa wanajua jinsi slaa alivyomsaidia kikwete kuongoza nchi indirectly kutokana na ujasili wake uliotukuka......hii ndiyo hofu kubwa kuwa wananchi wanajua mchango mkubwa wa slaa kwa hiyo kuna kila dalili kuwa kikwete kura haziwezi kamwe kumtosha labda waendee kuchakachua kama walivyofanya mbeya..........
Hofu nyingine, CCM waliahidi vitu vingi sana sasa wanashindwa kuwaeleza wananchi kwa nini havijatekelezwa, ni hofu.CCM wanajua kuwa mwisho wa utawala wao umefika kwa hiyo ni sawa na mtu anayetaka kukata roho,
Waliahidi vitu vingi sana lakini wapi, pia wanaojua watu wao wengi wamepungua kwani wazee wamekufa, vijana wameanza kushtuka.
Luteni umesahau kusema ni kwa nini vyombo vya umma vya usalama pia vinahaha?