Kwa ninavyowafahamu CCM, CHADEMA chukueni tahadhari hii

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Kutokana na hali ya mvurugano na kuishiwa hoja kwa CCM na vyama CUF na NCCR kwa sasa chama kilicho na mwelekeo ni CHADEMA na ndicho kinachopendwa na WTz waliowengi na hasa vijana. CCM imebakiwa na vijana wale ambao baba zao ama wanafaidika na mfumo wa CCM au ni viongozi wa CCM kama akina H. Mwinyi, Riz1,J. Makamba, Fred L,Nape n.k.

Kwa hali hii CCM inajua kuwa mchawi wake ni CHADEMA hivyo inatafuta mbinu za kuingiza migogoro ndani ya CHADEMA na hasa kwa kutumia maajenti wao waliopandikizwa ndani ya uongozi wa CHADEMA kupika migogoro.

Sasa ni muhimu wakalijua hili mapema na kujiandaa kutegua mitego kama walivyowahi kufanya huko nyuma, kwani lengo ni kuhakikisha wanaingiza migogoro ndani ya CDM kabla 2014 ili kukivuruga na kukivunja nguvu.
 
Ni kweli kabisa, mwenyekiti anaweza kutoka ili kupunguza malalamiko lakini yule ndugu yetu anayejitahidi kuutaka uenyekiti kwa mtaji wa siasa za urafiki na ccm mara sijui sudan ya kusini na mkulu hafai pia.Kama tayari watu wana malalamiko ama wanakushuku ni bora usilazimishe uongozi.
 
Ni kweli kabisa, mwenyekiti anaweza kutoka ili kupunguza malalamiko lakini yule ndugu yetu anayejitahidi kuutaka uenyekiti kwa mtaji wa siasa za urafiki na ccm mara sijui sudan ya kusini na mkulu hafai pia.Kama tayari watu wana malalamiko ama wanakushuku ni bora usilazimishe uongozi.

Yule dogo huwa anatishia amani kwa kweli
 
Kama wale madiwani wa arusha walitoswa na bado yukasonga mbele,,hakuna kidudum2 atakayetuvuruga...ila shibuda ni janga..ila mwisho wake upo karbu
 
Kama wale madiwani wa arusha walitoswa na bado yukasonga mbele,,hakuna kidudum2 atakayetuvuruga...ila shibuda ni janga..ila mwisho wake upo karbu

Zitto Kabwe(a.k.a Dr. Kaburu to be) msiogope kumtaja hadharani,huyu dogo anamzimia JK na Rostam.Alafu siku hizi ameanzisha katabia kusupport Vijana wa CCM,eti kwa sababu wote ni vijana bila kujua mitego.
 
Kama wale madiwani wa arusha walitoswa na bado yukasonga mbele,,hakuna kidudum2 atakayetuvuruga...ila shibuda ni janga..ila mwisho wake upo karbu

Zitto Kabwe(a.k.a Dr. Kaburu to be) msiogope kumtaja hadharani,huyu dogo anamzimia JK na Rostam.Alafu siku hizi ameanzisha katabia kusupport Vijana wa CCM,eti kwa sababu wote ni vijana bila kujua mitego.
Mtoa hoja ana hoja ni jukumu la CDM kujiandaa, inavyoonekana CCM hawataki demokrasia ikue wakiona chama kinakua lazima waiingize maajenti wao, waliiua NCCR, wakaikata mkia CUF na sasa wanaimalizia kwa kuiponda kichwa. Matatizo yote haya kama mtakumbuka chanzo chake ni pesa hasa za ruzuku.

Kwa nini CDM imekuwa ngumu kuingilika, kwanza ni determination ya viongozi, waasisi wenyewe na viongozi waliopo, pili CDM hakina njaa viongozi wake wameshiba otherwise Mbowe angeshanunuliwa zamani, tatu kadri kinavyoendelea kuwepo ndivyo kinavyojiimalisha, kina mifumo yake ya kujilinda (usalama wa chama), leo CDM kina watu wake ndani ya vyama vingine (CCM, NCCR, CUF nk) kwa hiyo ni rahisi kupata habari zozote hasa mbaya.

Shibuda is nothing mimi naomba aendelee kuwepo CDM anakikomaza zaidi chama kuliko wengi wanavyofikiria chama kinaonekana kumbe kinaweza kuvumilia na ku accommodate watu wa type ya Shibuda, Zitto alikuwa threat by that time lakini leo is no longer.
 
Mtoa hoja ana hoja ni jukumu la CDM kujiandaa, inavyoonekana CCM hawataki demokrasia ikue wakiona chama kinakua lazima waiingize maajenti wao, waliiua NCCR, wakaikata mkia CUF na sasa wanaimalizia kwa kuiponda kichwa. Matatizo yote haya kama mtakumbuka chanzo chake ni pesa hasa za ruzuku.

Kwa nini CDM imekuwa ngumu kuingilika, kwanza ni determination ya viongozi, waasisi wenyewe na viongozi waliopo, pili CDM hakina njaa viongozi wake wameshiba otherwise Mbowe angeshanunuliwa zamani, tatu kadri kinavyoendelea kuwepo ndivyo kinavyojiimalisha, kina mifumo yake ya kujilinda (usalama wa chama), leo CDM kina watu wake ndani ya vyama vingine (CCM, NCCR, CUF nk) kwa hiyo ni rahisi kupata habari zozote hasa mbaya.

Shibuda is nothing mimi naomba aendelee kuwepo CDM anakikomaza zaidi chama kuliko wengi wanavyofikiria chama kinaonekana kumbe kinaweza kuvumilia watu wa type ya Shibuda, Zitto alikuwa threat by that time lakini leo is no longer.

CCM wakibahatisha kuwapata viogozi wa CDM watakaokuwa walafi na wenye tamaa basi no more.Na ndo maana kuna watu wanatumwa kumdondosha Mbowe ile chama kipate mwenyekiti mlalahoi wakamuhonge vijiela,vijisuti,vigari nk basi akiue chama.
Uimara wa CDM ni Viongozi wasioendekeza njaa,na wenye kujitosheleza ndo maana baadhi ya maajenti wa CCM ndani na nje ya CDM wanahaha kutengeneza migogoro.
Mbowe kapokea chama kina hali gani na leo kipo katka hali gani.
Assume leo hii Zitto anapata uenyekiti wa CDM!!Lazima mimi niachane na kushabikia siasa no more,bcoz the end of CDM will be near future.
Sina maslahi na mtu katka CDM lakini Mnyika kama kijana has bright future in CDM.Na wengine wengi tu cjataja kila mtu.
 
kwa sasa mambo ya mfumo dume au gender balance hayana nafasi, yeyote ambaye ni mpambanaji tayari yuko kwenye uwanja wa mapambano.

Umenena.Tanzania ya sasa na ijayo haitaki kiongozi mwanamke,mwanaume,kijana wala mzee!!Tunachohitaji ni strong determined focused leaders ili watutoe katka umasikini.Sipigii kura mtu eti ni kijana mwenzangu,mwanamke mwenzangu,mwanaume mwenzangu au mzee mwenzangu.
Gender issues bahati nzuri nafahamu sana!Zimeanzia kwa Western,ambapo pamoja na mahubiri yoote America cjawahi ona Rais Female.
Gender base ya kumpa Makinda uspika na kumuacha Sita,to me it senses pyuuuuu!!To Africans Gender language inatumika kimaslahi zaidi na kuficha maovu! 2015 utasikia Tanzania hatujawahi kumpata Rais mwanamama na wala sio shupavu,so its time,hapo wanataka kumuhalalisha mtu fulani(Migiro).
 
CCM wakibahatisha kuwapata viogozi wa CDM watakaokuwa walafi na wenye tamaa basi no more.Na ndo maana kuna watu wanatumwa kumdondosha Mbowe ile chama kipate mwenyekiti mlalahoi wakamuhonge vijiela,vijisuti,vigari nk basi akiue chama.
Uimara wa CDM ni Viongozi wasioendekeza njaa,na wenye kujitosheleza ndo maana baadhi ya maajenti wa CCM ndani na nje ya CDM wanahaha kutengeneza migogoro.
Mbowe kapokea chama kina hali gani na leo kipo katka hali gani.
Assume leo hii Zitto anapata uenyekiti wa CDM!!Lazima mimi niachane na kushabikia siasa no more,bcoz the end of CDM will be near future.
Sina maslahi na mtu katka CDM lakini Mnyika kama kijana has bright future in CDM.Na wengine wengi tu cjataja kila mtu.

Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba Mnyika has a bright future in CDM.Kwanza anajua kujenga hoja,Pili ana msimamo unaoeleweka wa kipinzani,sio vuguvugu kama zitto,wakati mwingine zitto haeleweki,havai sura ya upinzani,Zitto hawezi kuaminika katika position kubwa ya uenyekiti,anaweza kuiuza Chadema yetu akaungana na CCM.

CDM inatakiwa kujijenga zaidi hasa katika taasisi zake.Taasisi ya BAVICHA iko imara.Taasisi ya BAWACHA(Wanawake) inatakiwa kuangaliwa upya ili kuipa nguvu na kuijengea mvuto kwa wanawake wengi.Hili linaweza kufanywa kwa kuwa na sensitization programms nyingi na wanawake wa kada na ngazi mbalimbali.Uwekezaji hua ni muhimu katika jambo lolote la msingi ambalo linatazamiwa kukua.CDM haina budi kuwekeza.

Wadau tulishatoa maoni kwamba Tuende maeneo mbalimbali tuwafundishe wananchi elimu ya uraia hasa vijijini.Hilo zoezi linakuwa la gharama,lakini tukatoa maoni kwamba tunaweza kuchangia katika hili.Chama kiweke mfumo unaoeleweka wa kuchangia,tutachangia chama chetu kisonge mbele.Kumbukeni 1 dollar campaign iliyomuweka Obamma madarakani.

Mpenda maendeleo yeyote wa CDM anajua mchango wa Mbowe katika kukiimarisha chama kufikia hapa kilipo,Msimamo wake umekuwa msimamo wa Chama.Mbowe hana sura za Undumilakuwili.Wakati wa kuachia madaraka ukifika ataachia,kama chama tutaona bado tunamhitaji basi agombee tena.Hili ni muhimu kuangaliwa kwa makini ili kutuwezesha kuingia uchaguzi wa 2015 bila majeraha yoyote ya Uchaguzi wa ndani ya Chama.ANYBODY CAN BE OUR CHAIRMAN BUT NOT ANYONE WHO BECOMES A CHAIRMAN WILL MAKE CDM STAND STRONG AS IT IS.
 
CCM wakibahatisha kuwapata viogozi wa CDM watakaokuwa walafi na wenye tamaa basi no more.Na ndo maana kuna watu wanatumwa kumdondosha Mbowe ile chama kipate mwenyekiti mlalahoi wakamuhonge vijiela,vijisuti,vigari nk basi akiue chama.
Uimara wa CDM ni Viongozi wasioendekeza njaa,na wenye kujitosheleza ndo maana baadhi ya maajenti wa CCM ndani na nje ya CDM wanahaha kutengeneza migogoro.
Mbowe kapokea chama kina hali gani na leo kipo katka hali gani.
Assume leo hii Zitto anapata uenyekiti wa CDM!!Lazima mimi niachane na kushabikia siasa no more,bcoz the end of CDM will be near future.
Sina maslahi na mtu katka CDM lakini Mnyika kama kijana has bright future in CDM.Na wengine wengi tu cjataja kila mtu.
Namheshimu sana Zitto ni mwanaharakati mzuri lakini hawezi kuwa kiongozi mzuri, ni sawa na consultant anaweza kuishauri kampuni na ku prosper lakini mwenyewe akipewa hiyo kampuni anaweza kuiua. Kuna mengi sana yanayosemwa juu ya Zitto ingawa ni rumours lakini si ya kupuuza hasa kwa mtu anayetaka kuwa kiongozi wa juu.

Hata mimi naweza kusema Mnyika anaweza kuwa kiongozi mzuri kama hatakuwa na tamaa ametulia hana papara ila bado mdogo sana kuachiwa chama ajengwe kwanza labda baada ya miaka mitano hivi, ila kwa wakati huu Mbowe is the right person for the post anaweza kuongezewa miaka mitano mingine afterall is still young.
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba Mnyika has a bright future in CDM.Kwanza anajua kujenga hoja,Pili ana msimamo unaoeleweka wa kipinzani,sio vuguvugu kama zitto,wakati mwingine zitto haeleweki,havai sura ya upinzani,Zitto hawezi kuaminika katika position kubwa ya uenyekiti,anaweza kuiuza Chadema yetu akaungana na CCM.

CDM inatakiwa kujijenga zaidi hasa katika taasisi zake.Taasisi ya BAVICHA iko imara.Taasisi ya BAWACHA(Wanawake) inatakiwa kuangaliwa upya ili kuipa nguvu na kuijengea mvuto kwa wanawake wengi.Hili linaweza kufanywa kwa kuwa na sensitization programms nyingi na wanawake wa kada na ngazi mbalimbali.Uwekezaji hua ni muhimu katika jambo lolote la msingi ambalo linatazamiwa kukua.CDM haina budi kuwekeza.

Wadau tulishatoa maoni kwamba Tuende maeneo mbalimbali tuwafundishe wananchi elimu ya uraia hasa vijijini.Hilo zoezi linakuwa la gharama,lakini tukatoa maoni kwamba tunaweza kuchangia katika hili.Chama kiweke mfumo unaoeleweka wa kuchangia,tutachangia chama chetu kisonge mbele.Kumbukeni 1 dollar campaign iliyomuweka Obamma madarakani.

Mpenda maendeleo yeyote wa CDM anajua mchango wa Mbowe katika kukiimarisha chama kufikia hapa kilipo,Msimamo wake umekuwa msimamo wa Chama.Mbowe hana sura za Undumilakuwili.Wakati wa kuachia madaraka ukifika ataachia,kama chama tutaona bado tunamhitaji basi agombee tena.Hili ni muhimu kuangaliwa kwa makini ili kutuwezesha kuingia uchaguzi wa 2015 bila majeraha yoyote ya Uchaguzi wa ndani ya Chama.ANYBODY CAN BE OUR CHAIRMAN BUT NOT ANYONE WHO BECOMES A CHAIRMAN WILL MAKE CDM STAND STRONG AS IT IS.

Mkuu mchango wako wa mawazo ni zaidi ya materials,angalia opposition(CCM)wasije copy
 
CHADEMA ni chama ambacho kimejengwa kwenye misingi bora ya kiuongozi na ndiyo maana hata awe nani ndani ya chadema akileta vitu ambavyo haviendani mlango uko wazi tunao majemedari hodari wakiongozwa na Dr Slaa CCM hawatuwezi
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba Mnyika has a bright future in CDM.Kwanza anajua kujenga hoja,Pili ana msimamo unaoeleweka wa kipinzani,sio vuguvugu kama zitto,wakati mwingine zitto haeleweki,havai sura ya upinzani,Zitto hawezi kuaminika katika position kubwa ya uenyekiti,anaweza kuiuza Chadema yetu akaungana na CCM.

CDM inatakiwa kujijenga zaidi hasa katika taasisi zake.Taasisi ya BAVICHA iko imara.Taasisi ya BAWACHA(Wanawake) inatakiwa kuangaliwa upya ili kuipa nguvu na kuijengea mvuto kwa wanawake wengi.Hili linaweza kufanywa kwa kuwa na sensitization programms nyingi na wanawake wa kada na ngazi mbalimbali.Uwekezaji hua ni muhimu katika jambo lolote la msingi ambalo linatazamiwa kukua.CDM haina budi kuwekeza.

Wadau tulishatoa maoni kwamba Tuende maeneo mbalimbali tuwafundishe wananchi elimu ya uraia hasa vijijini.Hilo zoezi linakuwa la gharama,lakini tukatoa maoni kwamba tunaweza kuchangia katika hili.Chama kiweke mfumo unaoeleweka wa kuchangia,tutachangia chama chetu kisonge mbele.Kumbukeni 1 dollar campaign iliyomuweka Obamma madarakani.

Mpenda maendeleo yeyote wa CDM anajua mchango wa Mbowe katika kukiimarisha chama kufikia hapa kilipo,Msimamo wake umekuwa msimamo wa Chama.Mbowe hana sura za Undumilakuwili.Wakati wa kuachia madaraka ukifika ataachia,kama chama tutaona bado tunamhitaji basi agombee tena.Hili ni muhimu kuangaliwa kwa makini ili kutuwezesha kuingia uchaguzi wa 2015 bila majeraha yoyote ya Uchaguzi wa ndani ya Chama.ANYBODY CAN BE OUR CHAIRMAN BUT NOT ANYONE WHO BECOMES A CHAIRMAN WILL MAKE CDM STAND STRONG AS IT IS.
Naungana na wewe 100%, kiongozi huwa anaoneka kwa jamii (watu) si lazima yeye kujitambulisha, Mnyika anaweza kuwa hazina ya CDM ya baadae.

Pia kama ulivyosema wapinzani hasa CCM wanaompinga M/kiti lazima wanajua uwezo wake wanasali atoke ili waweke mtu wao lengo wakiyumbishe chama. Nashauri CDM isibadilishe M/kiti hadi pale chama kitakapoweza kutembea, watu wanaweza kuja na wimbo wa kuminywa kwa demokrasia ndani ya chama, ninachosema si kuwa kusiwe na chaguzi la hasha, mtu yeyote anaweza kujitokeza kugombea, lakini kuna sababu gani ya kubadilisha uongozi kama uliopo unakidhi afterall aliyepo ana kila sifa ya kuchaguliwa?, Nawaambia wanaokuja kwa gia ya demokrasia kuwa maana ya demokrasia si kubadilisha tu uongozi unatakiwa pia kuangalia sababu zinazopelekea kubadilisha uongozi.
 
CCM wakibahatisha kuwapata viogozi wa CDM watakaokuwa walafi na wenye tamaa basi no more.Na ndo maana kuna watu wanatumwa kumdondosha Mbowe ile chama kipate mwenyekiti mlalahoi wakamuhonge vijiela,vijisuti,vigari nk basi akiue chama.
Uimara wa CDM ni Viongozi wasioendekeza njaa,na wenye kujitosheleza ndo maana baadhi ya maajenti wa CCM ndani na nje ya CDM wanahaha kutengeneza migogoro.
Mbowe kapokea chama kina hali gani na leo kipo katka hali gani.
Assume leo hii Zitto anapata uenyekiti wa CDM!!Lazima mimi niachane na kushabikia siasa no more,bcoz the end of CDM will be near future.
Sina maslahi na mtu katka CDM lakini Mnyika kama kijana has bright future in CDM.Na wengine wengi tu cjataja kila mtu.
Hapo umenena mzee, lazima kuwa makini sana na strategy za magamba kila siku utasikia Mbowe hafai lakini ukiuliza sababu hakuna, kama chama kimekuwa na kupata nguvu chini ya uongozi wake sasa ubaya wake nini?
 
Back
Top Bottom