Kwa ninavyowafahamu CCM, CHADEMA chukueni tahadhari hii

Mtoa hoja ana hoja ni jukumu la CDM kujiandaa, inavyoonekana CCM hawataki demokrasia ikue wakiona chama kinakua lazima waiingize maajenti wao, waliiua NCCR, wakaikata mkia CUF na sasa wanaimalizia kwa kuiponda kichwa. Matatizo yote haya kama mtakumbuka chanzo chake ni pesa hasa za ruzuku.

Kwa nini CDM imekuwa ngumu kuingilika, kwanza ni determination ya viongozi, waasisi wenyewe na viongozi waliopo, pili CDM hakina njaa viongozi wake wameshiba otherwise Mbowe angeshanunuliwa zamani, tatu kadri kinavyoendelea kuwepo ndivyo kinavyojiimalisha, kina mifumo yake ya kujilinda (usalama wa chama), leo CDM kina watu wake ndani ya vyama vingine (CCM, NCCR, CUF nk) kwa hiyo ni rahisi kupata habari zozote hasa mbaya.

Shibuda is nothing mimi naomba aendelee kuwepo CDM anakikomaza zaidi chama kuliko wengi wanavyofikiria chama kinaonekana kumbe kinaweza kuvumilia na ku accommodate watu wa type ya Shibuda, Zitto alikuwa threat by that time lakini leo is no longer.

ya shibuda kweli wewe umeongea, shibuda anaikomaza Cdm wamwache tu yeye mwenyewe baadae atajiona ni mpumbavu fulani anayetumika kwa masirahi ya wakubwa! Yaani kwa kutetea posho anajimaliza mwenyewe kwa wapiga kura wake pia wananchi wengi waliokuwa wanamsapoti wanaona ka chizi fulani asiye na mwelekeo, yeye ni bora liende.
 
CCM wakibahatisha kuwapata viogozi wa CDM watakaokuwa walafi na wenye tamaa basi no more.Na ndo maana kuna watu wanatumwa kumdondosha Mbowe ile chama kipate mwenyekiti mlalahoi wakamuhonge vijiela,vijisuti,vigari nk basi akiue chama.
Uimara wa CDM ni Viongozi wasioendekeza njaa,na wenye kujitosheleza ndo maana baadhi ya maajenti wa CCM ndani na nje ya CDM wanahaha kutengeneza migogoro.
Mbowe kapokea chama kina hali gani na leo kipo katka hali gani.
Assume leo hii Zitto anapata uenyekiti wa CDM!!Lazima mimi niachane na kushabikia siasa no more,bcoz the end of CDM will be near future.
Sina maslahi na mtu katka CDM lakini Mnyika kama kijana has bright future in CDM.Na wengine wengi tu cjataja kila mtu.

Hapo kwenye red umenikumbusha jamaa alivyo hongwa suti na yule mwarabu.
 
Mtoa hoja ana hoja ni jukumu la CDM kujiandaa, inavyoonekana CCM hawataki demokrasia ikue wakiona chama kinakua lazima waiingize maajenti wao, waliiua NCCR, wakaikata mkia CUF na sasa wanaimalizia kwa kuiponda kichwa. Matatizo yote haya kama mtakumbuka chanzo chake ni pesa hasa za ruzuku.

Kwa nini CDM imekuwa ngumu kuingilika, kwanza ni determination ya viongozi, waasisi wenyewe na viongozi waliopo, pili CDM hakina njaa viongozi wake wameshiba otherwise Mbowe angeshanunuliwa zamani, tatu kadri kinavyoendelea kuwepo ndivyo kinavyojiimalisha, kina mifumo yake ya kujilinda (usalama wa chama), leo CDM kina watu wake ndani ya vyama vingine (CCM, NCCR, CUF nk) kwa hiyo ni rahisi kupata habari zozote hasa mbaya.

Shibuda is nothing mimi naomba aendelee kuwepo CDM anakikomaza zaidi chama kuliko wengi wanavyofikiria chama kinaonekana kumbe kinaweza kuvumilia na ku accommodate watu wa type ya Shibuda, Zitto alikuwa threat by that time lakini leo is no longer.

Umejitahidi, kumbe unajua kuwa CDM ni chama makini na kina uvumilivu sana na Vicheche akina Shibunda na Mzito, kwa kweli kuhusu usalama wako makini kuliko CCM vipande-vipande
 
Kutokana na hali ya mvurugano na kuishiwa hoja kwa CCM na vyama CUF na NCCR kwa sasa chama kilicho na mwelekeo ni CHADEMA na ndicho kinachopendwa na WTz waliowengi na hasa vijana. CCM imebakiwa na vijana wale ambao baba zao ama wanafaidika na mfumo wa CCM au ni viongozi wa CCM kama akina H. Mwinyi, Riz1,J. Makamba, Fred L,Nape n.k.

Kwa hali hii CCM inajua kuwa mchawi wake ni CHADEMA hivyo inatafuta mbinu za kuingiza migogoro ndani ya CHADEMA na hasa kwa kutumia maajenti wao waliopandikizwa ndani ya uongozi wa CHADEMA kupika migogoro.

Sasa ni muhimu wakalijua hili mapema na kujiandaa kutegua mitego kama walivyowahi kufanya huko nyuma, kwani lengo ni kuhakikisha wanaingiza migogoro ndani ya CDM kabla 2014 ili kukivuruga na kukivunja nguvu.

acha upupu kwan kina lisu mbona wameweka dada zao,au mtei kulazimisha mkwe kuwa mwenyekiti hata chadema ni chama cha ukoo na wapuuz wasiojiewa
 
Mtoa hoja ana hoja ni jukumu la CDM kujiandaa, inavyoonekana CCM hawataki demokrasia ikue wakiona chama kinakua lazima waiingize maajenti wao, waliiua NCCR, wakaikata mkia CUF na sasa wanaimalizia kwa kuiponda kichwa. Matatizo yote haya kama mtakumbuka chanzo chake ni pesa hasa za ruzuku.

Kwa nini CDM imekuwa ngumu kuingilika, kwanza ni determination ya viongozi, waasisi wenyewe na viongozi waliopo, pili CDM hakina njaa viongozi wake wameshiba otherwise Mbowe angeshanunuliwa zamani, tatu kadri kinavyoendelea kuwepo ndivyo kinavyojiimalisha, kina mifumo yake ya kujilinda (usalama wa chama), leo CDM kina watu wake ndani ya vyama vingine (CCM, NCCR, CUF nk) kwa hiyo ni rahisi kupata habari zozote hasa mbaya.

Shibuda is nothing mimi naomba aendelee kuwepo CDM anakikomaza zaidi chama kuliko wengi wanavyofikiria chama kinaonekana kumbe kinaweza kuvumilia na ku accommodate watu wa type ya Shibuda, Zitto alikuwa threat by that time lakini leo is no longer.

Crackpot...
 
acha upupu kwan kina lisu mbona wameweka dada zao,au mtei kulazimisha mkwe kuwa mwenyekiti hata chadema ni chama cha ukoo na wapuuz wasiojiewa
Yote tisa kumi DP cha Mtikila, Mwenyekiti ni yeye mwenyewe, katibu mkuu mke wake na mweka hazina ni mtoto wake!!
 
Kuhusu swala la Zitto mimi naweza sema ni mwanasiasa mzuri yaani katika kujenga na kutetea hoja lakini si mtendaji mzuri.
Naweza sema kawa watz walivyo mchagua kuwa raisi kwa ni kama watz wengi walivyokurupuka kumchagua Kikwete 2005.

Na usihau lisemwalo lipo kama halipo laja.
Zitto ni kirusi ndani ya CDM, tutake tusitake.
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba Mnyika has a bright future in CDM.Kwanza anajua kujenga hoja,Pili ana msimamo unaoeleweka wa kipinzani,sio vuguvugu kama zitto,wakati mwingine zitto haeleweki,havai sura ya upinzani,Zitto hawezi kuaminika katika position kubwa ya uenyekiti,anaweza kuiuza Chadema yetu akaungana na CCM.

CDM inatakiwa kujijenga zaidi hasa katika taasisi zake.Taasisi ya BAVICHA iko imara.Taasisi ya BAWACHA(Wanawake) inatakiwa kuangaliwa upya ili kuipa nguvu na kuijengea mvuto kwa wanawake wengi.Hili linaweza kufanywa kwa kuwa na sensitization programms nyingi na wanawake wa kada na ngazi mbalimbali.Uwekezaji hua ni muhimu katika jambo lolote la msingi ambalo linatazamiwa kukua.CDM haina budi kuwekeza.

Wadau tulishatoa maoni kwamba Tuende maeneo mbalimbali tuwafundishe wananchi elimu ya uraia hasa vijijini.Hilo zoezi linakuwa la gharama,lakini tukatoa maoni kwamba tunaweza kuchangia katika hili.Chama kiweke mfumo unaoeleweka wa kuchangia,tutachangia chama chetu kisonge mbele.Kumbukeni 1 dollar campaign iliyomuweka Obamma madarakani.

Mpenda maendeleo yeyote wa CDM anajua mchango wa Mbowe katika kukiimarisha chama kufikia hapa kilipo,Msimamo wake umekuwa msimamo wa Chama.Mbowe hana sura za Undumilakuwili.Wakati wa kuachia madaraka ukifika ataachia,kama chama tutaona bado tunamhitaji basi agombee tena.Hili ni muhimu kuangaliwa kwa makini ili kutuwezesha kuingia uchaguzi wa 2015 bila majeraha yoyote ya Uchaguzi wa ndani ya Chama.ANYBODY CAN BE OUR CHAIRMAN BUT NOT ANYONE WHO BECOMES A CHAIRMAN WILL MAKE CDM STAND STRONG AS IT IS.

Hapo umenena mkuu! Wanaotaka Mbowe atoke kwenye uenyekiti wa CDM ni agents wa CCM. Wameshindwa kumnunua kwasababu ana msimamo thabiti na hana njaa, amejitosheleza!!
 
acha upupu kwan kina lisu mbona wameweka dada zao,au mtei kulazimisha mkwe kuwa mwenyekiti hata chadema ni chama cha ukoo na wapuuz wasiojiewa

...mkuu umepotea njia,hapa tumekutana watanganyika na wana-CHADEMA tunajadili mustakabali wa chama+nchi chetu ,sasa wewe mtanzania bara unatulitea pupu wako hapa..."alaaa unadhani watu makini tuna muda wa kusikiliza ujinga wako?!"...ok tuendeleen na maongezi ma-kamanda...
 
Naungana na wewe 100%, kiongozi huwa anaoneka kwa jamii (watu) si lazima yeye kujitambulisha, Mnyika anaweza kuwa hazina ya CDM ya baadae.

Pia kama ulivyosema wapinzani hasa CCM wanaompinga M/kiti lazima wanajua uwezo wake wanasali atoke ili waweke mtu wao lengo wakiyumbishe chama. Nashauri CDM isibadilishe M/kiti hadi pale chama kitakapoweza kutembea, watu wanaweza kuja na wimbo wa kuminywa kwa demokrasia ndani ya chama, ninachosema si kuwa kusiwe na chaguzi la hasha, mtu yeyote anaweza kujitokeza kugombea, lakini kuna sababu gani ya kubadilisha uongozi kama uliopo unakidhi afterall aliyepo ana kila sifa ya kuchaguliwa?, Nawaambia wanaokuja kwa gia ya demokrasia kuwa maana ya demokrasia si kubadilisha tu uongozi unatakiwa pia kuangalia sababu zinazopelekea kubadilisha uongozi.

Mkuu Feedback;

Umetoa point nzuri sana.Kiongozi mzuri na mwadilifu hana haja ya kujitangaza au tuseme kujipigia kampeni sana au kutangaza nia mapema sana kama mbinu ya kupiga kampeni,haya tunayaona kwa CCM na CUF na ndiyo yanaendeleza migogoro iliyo huko kwao.Tunatakiwa tujifunza kutokana na yanayotokea kwa wenzetu,kwa sababu sisi (CDM) ni nani hasa ambao migogoro haitaweza kutukumba.Jambo la msingi ni kutumia mbinu nzuri za "Political Conflict Management" ili kuweza kuepukana nayo na hata pale itakapotokea isituathiri.

Mtu anayetufaa/atakayetufaa tunamwona/tutamwona, tutamwomba atuongoze kutokana na kumwamini kwetu.Jinsi ambavyo kila mmoja wetu anaendesha mambo yake,mwisho wa siku tutamtambua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu.

Demokrasia ni uongozi wa watu, na watu,kwa ajili ya watu.Demokrasia si tu kubadilisha uongozi,ni pana zaidi ya hapo.Inakwenda hadi ni kiongozi gani tunayemtaka.Narudia tena,Mbowe kwa wale wapinzani wa CDM ni threat kwao.Hata hivyo kelele za kwamba Mbowe aondoke kwa sasa sio mda wake kwani bado yuko pale kikatiba.Ukweli ni kwamba bado tunamhitaji sana.I personally think safu ya sasa hivi iko sawa kabisa.

Shibuda hana shida,aendelee kuwapo tu.Hata hivyo huyu jamaa anafahamika,watu wanamfahamu.Tuende nae anakikomaza chama,tusithubutu kumtoa.Ila kwa ukomavu wa CDM anatakiwa asipewe nafasi yoyote ya juu katika uongozi wa chama.
 
Ni kweli kabisa, mwenyekiti anaweza kutoka ili kupunguza malalamiko lakini yule ndugu yetu anayejitahidi kuutaka uenyekiti kwa mtaji wa siasa za urafiki na ccm mara sijui sudan ya kusini na mkulu hafai pia.Kama tayari watu wana malalamiko ama wanakushuku ni bora usilazimishe uongozi.

Tindo, umedokeza kidogo kuhusu zzk, usiogope kutaja jina. Unayemzungumzia ni zitto zuber kabwe. Huu ndio mlango wa kuingilia migogoro ndani ya chadema.
 
Kingine mkuu ni kwamba CDM wauangalie upya mfumo dume walionao.

Hayo mambo ya Gender ndo yametuletea bibi Kiroboto...hayafai kabisa!kama mtu ana uwezo ataingia kupambana,huo upendeleo ndo madhala yake kina bibi Makinda
 
Nyie Wachaga hivi Zitto aliwakosea nini hadi mmsakame namna hii? Mfukuzeni basi CDM mbaki Wachaga tupu na Wakristo tupu! Ina boa sana kumfuatilia mtu unakua umbeya sasa
 
even Chacha Wangwe alikuwa na bright future..na sasa ccm imeibaka tarime./mis you brother/
 
Its true, JOHN MNYIKA is incomparable to ZITO, he is the best, I love mnyika, Mungu akulinde Mnyika akupe afya njema utimize malengo yako ya kisiasa na siku moja uje ushike uongozi wa juu wa chama. Kwa sasa zito anatakiwa kushika nafasi unaibu/umakamu ili ajifunze maana nahisi ana hulka ya umamluki na kupenda mambo makubwa ambayo hata mtu wa kawaida ukiyapima unashindwa umuweka katika kundi gani.
 
Nyie Wachaga hivi Zitto aliwakosea nini hadi mmsakame namna hii? Mfukuzeni basi CDM mbaki Wachaga tupu na Wakristo tupu! Ina boa sana kumfuatilia mtu unakua umbeya sasa
Acha uchochezi wa kikabila. tunamwongelea zito kama zito vipi ulete ukabila na udini hapa.
Mimi natoka Mara c mchaga ila Zito ukweli haeleweki. CDM ni chetu watanzania wote. Kama ccm ni chenu wazanzibar, watu wa pwani na waislamu msifikiri cdm ni cha wachaga na wakristo kwa akili zenu za kibaguzi.
 
Back
Top Bottom