Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Vipi mshahara wa mwezi Februari?
Huko kwenye akaunti bado hawajafanya mambo huko wakuu?
Maana'ke hali sio hali kabisa,
Na kuna ndugu namdai,
Sasa huyo ikipita siku 1 tu tangu apate mshahara-
Nd'o basi hadi mwezi ujao!
So tujuzane kama tayari ili nianze kumlia RADA kabisa.
Huko kwenye akaunti bado hawajafanya mambo huko wakuu?
Maana'ke hali sio hali kabisa,
Na kuna ndugu namdai,
Sasa huyo ikipita siku 1 tu tangu apate mshahara-
Nd'o basi hadi mwezi ujao!
So tujuzane kama tayari ili nianze kumlia RADA kabisa.