Kwa ndoa hii, ni heri ya kutooa kabisa

hahahaha
Watu hawachelewi kusema

USIOE MWANAMKE WA KIZUNGU.
Mana wakurya tumeshambiwa hawafai.
 
Sasa hapo si bora ukalale ukumbini tu, kuna hajagani ya kulala nae,
 
Hizo zana za kujikinga na wanaume wanaowabaka wake zao, wizara husika ingeziagiza kwa wingi, na kuzigawa bureee!
 
kazi ipo hapo... wamekula kiapo kuvumiliana ktk shida na raha......
 
Ndoa hiyo ni kiboko,ila jamani hizi kuta za pembe nne zina mambo ukichunguza ndani zikoje ni balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom