johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Kwa mashambulizi ya Wabunge wa CCM dhidi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe leo pale Bungeni naona Maridhiano yako shakani
Bila Mbowe kuomba radhi nayaona Maridhiano yakitamatika!
Mlale Unono!
Bila Mbowe kuomba radhi nayaona Maridhiano yakitamatika!
Mlale Unono!