Kwa mwenye uelewa changia hapa

Kwa mwenye uelewa changia hapa

Sossy Mwasi

Senior Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
190
Reaction score
23
Utamshari vipi mtu Fulani mwenye mapenzi na course mbili kati ya hizi achague moja wapo ambayo itakuja kumsaidia kwa baadae.Civil & Electrical Engineering.
 
kuna post ya miongozo ya kozi ya za Engineering Tafuta kwangu mimi Civil hata miaka 50 ijayo nchi hii hawa watu watapeta tu. Kama dar hata fly overs bado Ghorofa ndefu ni 32 tu. Highway za hata lanes 4 na hata tulizonazo hazifiki 1000km. hizo zote ni kazi

nchi haina wataalamu wa material kabisa.
 
Civil engineering aisee, ila kama muda anao anaweza kuzisoma zote mbili. Ni yeye tu.
 
me naona electrical iko poa sana maana kujiajiri unaweza
 
Back
Top Bottom