Najiuliza tu, kama Barabara za highway gari inatembea speed 50 km per hour
Sehemu chache sana gari inapewa 80 kph..
Elimu kwa mpita njia hakuna, Traffic police ni wakusanya mapato
Watanzania wapewe Elimu ya usalama barabarani...Halafu kuwa na adhabu kwa waenda kwa miguu wanaovunja Sheria..mfano kuvuka pasipo na Zebra...Kuvusha mifugo kiholela etc
Kwa speed 50 kph ni kinyume na SADC na pia nchi inarudi nyuma
Wastage of time on road,
Msingi wa HAPA KAZI tu uko wapi kama muda unapotea barabarani
TRAFFIC watoe elimu ya usalama barabarani, hata kwa madreva
Minimum speed iwe angalau 70 na mazimum iwe 120
Sehemu ya mji au kupita kijiji inaweza kuwa 50 kph
Tuache unafiki--Mbona mawaziri wanakimbia na V8 zao?
watu wengine hawana kazi za kufanya, walipa kodi wakubwa etc
Sehemu chache sana gari inapewa 80 kph..
Elimu kwa mpita njia hakuna, Traffic police ni wakusanya mapato
Watanzania wapewe Elimu ya usalama barabarani...Halafu kuwa na adhabu kwa waenda kwa miguu wanaovunja Sheria..mfano kuvuka pasipo na Zebra...Kuvusha mifugo kiholela etc
Kwa speed 50 kph ni kinyume na SADC na pia nchi inarudi nyuma
Wastage of time on road,
Msingi wa HAPA KAZI tu uko wapi kama muda unapotea barabarani
TRAFFIC watoe elimu ya usalama barabarani, hata kwa madreva
Minimum speed iwe angalau 70 na mazimum iwe 120
Sehemu ya mji au kupita kijiji inaweza kuwa 50 kph
Tuache unafiki--Mbona mawaziri wanakimbia na V8 zao?
watu wengine hawana kazi za kufanya, walipa kodi wakubwa etc