Kwa mwanaume kama huyu unakimbilia nini ndugu?

Hello guys!
Nashindwa kumwelewa huyu nduguyetu Si mimi tu hata familia haimuelewi na haitaki kumuelewa hata chembe! She is a graduate na ana kazi yake nzuri tu serikalini kwa mshahara wa degree! Kutokea kupendana kuliko haya maelezo na mume wa mtu mwenye familia kubwa tu ( mke na watoto watano).

Huyo baba yupo ndoani na his five baby's mama huu mwaka wa 9 na kwa kuangalia nikwamba wanapendana na kuendelea kupendana vizuri tu na mkewe huyo mwenye watoto 5 na hii juzi katoto ka 5 ndokamezaliwa!
Huyu mjinga kakaa tu eti anasubiri kuolewa na huyo baba mwenye mji wake namiaka kenda yandoa yenye watoto 5 na anazidi kuzalisha tu kwani ndokwanza mwanaume ana thirty one mkewe ana twenty four!

Huyo baba hana mijihelaa wala na hajasoma kaishia lasaba tuseme na wenyewe tu maisha yao yakujikokota ndohivohivo wameridhika nayo tu ilimradi wanavaa wanakula wana pa kulala lakini bidada hasikii haoni kwa mume wa mtu!

Mbaya zaidi the lady is a Christian and the man is an Islamic tena hawa itikadi kaliiii idiot huyu yupo tayari kubadili dini akahesabiane siku na mwanamke mwenzie aliemkomaza mumewe na cha kusikitisha zaidi huyo mkewe ni mama wa nyumbani tu wakuachiwa hela ya kuhemea kupika na kupakua na kumpelekea mumewe chakula kibandani nakurudi nyumbani.

Sasa huyu bidada mfanyakazi huyu ataachiwa hela ya matumizi kama mwenzie kweli ilhali anafanya kazi huyu au ndo kwenda kuhonga hela mwanaume ahudumie familia kubwa? Si kujitaftia mzigo tu watu wana miaka kibao watoto ju nahawana matatizo yoyote yanini kujiingiza sehemu kama hio ndugu ???

Sometimes she miss the man and the man is busy with his family ye kuishia kuvusha tu. Hata kuwasiliana shida asubuhi akiwa kwake no communications, mchana mkewe akiwa kapeleka chakula wanakula no communications usiku akifunga kibanda akirudi kwake as were! Na si kwamba eti hakujua alijua mapemaaaaa kabisa kuwa the man is married mapema sana.

Anadanganyika tu nitakuoa nitakuoa huku yeye anauhakika wa kutolea nyege zake nakuzalisha ffala huyu kakaa tu eti anamtunzia! Opportunities kibao wakristu wenye kazi nzuri anawakataa kakazania huyo aliekomaa kiuno tu mmmxxxxxxxxxxiiiiiiiiooouuuu! kila siku anapigwa kalenda bwegemtozeni huyu.

What a disappointment jaman hata ndugu wamesusa!
Maoni na ushauri kwakweli mimi binafsi hapanaaaaaaaaa!
Ukimruhusu huyo mume wa mtu akugegede utajuwa kwa nini nduguyo bado anaisubiria ahadi... usikute na wewe utaomba ahadi
 
Kwa kauli yako hii hufai kuwa mshauri wa watu..... Una dharau mno. Unadhani huyo mke kapenda kuwa katika hali hiyo ya umaskini?. Wewe kama ulibahatika kuwa wa familia inayojiweza mshukuru Mungu na uwe Baraka kwa wengine, lakini siyo dharau za namna hii

Sifai sio kwa ushauri tu hata kuwa mke!!
 
Back
Top Bottom