Ahaaaa ahaaaa ahaaa kaka INTELIJENSIA yangu hata ya Jeshi la Polisi haioni ndani
ah ha ha ha ha ha ha ameshampiku hata kakobe
Ungewafanyaje hapo kwenye blue mkuu?
Gurudumu niliposoma mkasa wa FORGIVE nilishindwa kwanza ku-comment chochote kile kwanza baada ya kusoma mkasa wake tena kwa mara ya pili nilijiuliza maswali mengi sana mtu unaweza kusema labda wewe dunia umeumbwa na mkosi au wewe maisha yako yamepangwa yawe hivyo au labda watu wanakuchezea lakini kama ukimtanguliza Mungu mbele na kuomba sana ni lazima atasikia kilio chako utateseka lakini mwisho wa siku Mungu anaona na anajua ni wakati gani akutoe katika hali uliyonayo.TF, hata profesa Kakobe hakufikii! Lakini kwa nini hii kitu inanitia uchungu sana? Napata nguvu ya kusema if i could get those culprits
"Wakawa wakipaza sauti zao asulubiwe asulubiwe" LolzKaka, intelijensia yako hata ya Shimo . . . . oooh I mean ya Shimbo ina afadhali
Yaani mkuu kesi ya kwanza mahakama ya JF ni mimi na wewe
YAANI SIKUBALI AISEEEE
LAZIMA UHUKUMIWE
Mkoloni atakuwa amemkaba koo huyoHivi babu kaenda wapi, wiki sasa sijamuona jamvini
Umesema kweli kaka, yani unaweza ukajiona una matatizo lkn ukikutana na la mwenzio unaona afadhali ya wewe!!
Kaka naomba kuuliza, hata mtu yoyote tu naomba anisaidie, kwani ukibakwa unaweza ukashindwa kuzaa?
The Following User Says Thank You to Kaizer For This Useful Post:Mkuu haya maneno mazito sana ya Nabii Isaya kwa kweli.....umenikumbusha Handel's Messiah....ubarikiwe mkuu
Gurudumu niliposoma mkasa wa FORGIVE nilishindwa kwanza ku-comment chochote kile kwanza baada ya kusoma mkasa wake tena kwa mara ya pili nilijiuliza maswali mengi sana mtu unaweza kusema labda wewe dunia umeumbwa na mkosi au wewe maisha yako yamepangwa yawe hivyo au labda watu wanakuchezea lakini kama ukimtanguliza Mungu mbele na kuomba sana ni lazima atasikia kilio chako utateseka lakini mwisho wa siku Mungu anaona na anajua ni wakati gani akutoe katika hali uliyonayo.
Tunapitia katika njia mbali mbali na ngumu tunajifunza mambo mengi sana, mimi na wewe hatuwezi kujiweka kwenye hali kama ya FORGIVE sababu ni vigumu sana kujua anajisikiaje kwa sasa, kuna mtu aliishawahi kuniahadithia stori kama hii lakini yeye alikuwa tofauti kidogo kwake yeye alikuwa ni Baba yake mdogo ambaye alikuwa anamfanyia hayo mambo.
All we like sheep we have gone astray each of us turning our own separate way we have all sinned and fallen short of the glory of God, but the glory of God is what we desire to see and in his presence is where we long to be, Lord show us your mercy and grace, forgive our sin because we long to live in your presence.
hili ngoja tusubirie wataalamuhivi hata mwanamke abakwe vp, huo ubakaji hauwezi ukasababisha apate madhara ya kusababisha aondolewe uwezo wa kuzaa ili apone?
kAKA NAHISI UNGEUA na kumtafuna kabisa
I can read your mind
Gurudumu niliposoma mkasa wa FORGIVE nilishindwa kwanza ku-comment chochote kile kwanza baada ya kusoma mkasa wake tena kwa mara ya pili nilijiuliza maswali mengi sana mtu unaweza kusema labda wewe dunia umeumbwa na mkosi au wewe maisha yako yamepangwa yawe hivyo au labda watu wanakuchezea lakini kama ukimtanguliza Mungu mbele na kuomba sana ni lazima atasikia kilio chako utateseka lakini mwisho wa siku Mungu anaona na anajua ni wakati gani akutoe katika hali uliyonayo.
Tunapitia katika njia mbali mbali na ngumu tunajifunza mambo mengi sana, mimi na wewe hatuwezi kujiweka kwenye hali kama ya FORGIVE sababu ni vigumu sana kujua anajisikiaje kwa sasa, kuna mtu aliishawahi kuniahadithia stori kama hii lakini yeye alikuwa tofauti kidogo kwake yeye alikuwa ni Baba yake mdogo ambaye alikuwa anamfanyia hayo mambo.
Mkuu haya maneno mazito sana ya Nabii Isaya kwa kweli.....umenikumbusha Handel's Messiah....ubarikiwe mkuu
Kamata hii