nashukuru kwa kukubali kua mmepoteza imani kwa wanchi.habari zenu wana jf wenzangu? Well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari "TUTARUDISHA VIPI IMANI YA WANANCHI KWA CCM?" so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu . No jokes here.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
habari zenu wana jf wenzangu? Well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari "TUTARUDISHA VIPI IMANI YA WANANCHI KWA CCM?" so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu . No jokes here.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
habari zenu wana jf wenzangu? Well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari "TUTARUDISHA VIPI IMANI YA WANANCHI KWA CCM?" so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu . No jokes here.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mkombengwa haikuwa na haja ya kunitukanakuongea kwanza then kufikiri huo ni ujinga...ningekuwa mimi nisingeleta hiyo mada..kama wewe u kijana nadhan kama si mshirikina ni mnafiki..
Jamani ndio maana nikaomba mchango wa wana ccm tu.Mtarudisha imani kwa kukubali uamuzi wa wananchi kwamba wamewachoka na wanahtaji CHADEMA!
Hatutakuwa tumesolve tatizo kuu.Mkuu wa kaya apige chini na dk. Slaa atawazwe uprezida mara1 kwakuwa matokeo ya 2010 yalipinduliwa.
Neno lako sio sheria and we will prove u wrong.We mtoa mada tafuta kazi ya kufanya. Hakuna cha kuishauri ccm.
Hebu tuondolee thread za kijinga nenda kamuulize nape kwasababu alisema mta tawala milele
Sio nape pekee mwenye jukumu la kulinda chama ni mimi na wewe.
Nashukuru kwa mchango wako ndugu.Tutarudisha imani kwa wananchi kwa kufanya yafuatayo:
1.Kwa kurudisha malizote na fedha zilizotwaliwa kifisadi na waliozitwa washitakiwe kwa mujibu wa sheria za nchi.
2.Kusimamia vizuri sheria na katiba ya nchi bila kukiuka sheria na katiba.mfano kula rushwa,wizi n.k.
3.Uzalendo kwa kuweka maslai ya taifa mbele.mfano.kuingia mikataba yenye maslai kwa taifa zaidi.
Bila hivyo tusubirie kuwa chama pinzani tena tutakua chama pinzani ambacho ni dhaifu,manake chama cha kwanza kinaweza kuwa CDM ikafuata CUF,TLP na CCM tukawa wa mwisho huku.
fukuzeni EL kwanza
habari zenu wana jf wenzangu? Well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari "TUTARUDISHA VIPI IMANI YA WANANCHI KWA CCM?" so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu . No jokes here.MUNGU IBARIKI TANZANIA.