tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Naona mvua zimekazana usiku kucha leo na hata sasa zinaendelea na hali ya hewa walitutangazia hilo mapema.
Sasa kwa wale tunaotumia mwendokasi vipi huduma inaendelea kutolewa ili tutoke kwa kazi za nje.
Hasa hasa pale Jangwani sijui panapitika au laa.
Sasa kwa wale tunaotumia mwendokasi vipi huduma inaendelea kutolewa ili tutoke kwa kazi za nje.
Hasa hasa pale Jangwani sijui panapitika au laa.