Kwa muonekano wa nje, Ikulu ya Dar es Salaam ni nzuri kuliko Ikulu ya Dodoma

..iko kama jengo la HOSPITALI.

..akija Raisi mwingine itabidi wajenge mpya.
Jambo hili tunaliongea kila siku hapa jamvini. Kazi za ubunifu (design) na uchoraji haziji kutoka hewani , zinatokana na mawazo ambayo wataalam huyachambua ili kupata kinachotarajiwa.

Jina Tanzania lilibuniwa na mtu aliyekuwa nje ya serikali na chama baada ya wazo kuuzwa kwa wananchi.

Ikulu ya Dodoma ilitakiwa ushindani wa muonekana wake na ingetolewa shindano.

Mwaka 2020 tunajenga BOX ambalo hata mwanafunzi wa Architect wa mwaka wa 1 pale Ardhi University anaweza kuchora akiwa field!

Hivi haiwezekani kujenga Ikulu kwa mfano wa vitu vyetu wenyewe? Nani alitoa wazo la hilo box ? Inasikitisha sana.

State house ni alama ya Taifa. Angalia Ikulu za duniani utaona kuna tatizo katika hilo box la Dodoma.
 
Tatizo lenu watanzania bado hamjagundua kuwa Wasukuma kwenye creativity ni ziro kabisa. Hapo hiyo design imejengwa utasema office za Nyanza coop. Jamaa kaona ni gorofa la vioo basi kajua bonge la mjengo
 
Kwa muonekano wa nje, ikulu ya Dar es Salaam ni nzuri kuliko ya Chamwino, japokuwa ilijengwa kipindi cha ukoloni na teknolojia ilikuwa ndogo.

Je, Tanzania tunafeli wapi?
View attachment 1401003View attachment 1401005

Ebu angalia ikulu ya south Africa na ilijengwa kipindi Cha apartheid angalia ilivyokua nzuri

View attachment 1401031
Hiyo nyumba uliyochagua siyo Ikulu mzee, hilo ni jengo la ofisi fulani tu na wala halina uwanja unaeondana na majukumu ya Ikulu. Sijui wewe umeitoa wapi hiyo. Hata maafisa wa usalama hawawezi kukubali hiyo ndiyo iwe Ikulu
 
Kwa muonekano wa nje, ikulu ya Dar es Salaam ni nzuri kuliko ya Chamwino, japokuwa ilijengwa kipindi cha ukoloni na teknolojia ilikuwa ndogo

Je, Tanzania tunafeli wapi?

Ebu angalia ikulu ya south Africa na ilijengwa kipindi Cha apartheid angalia ilivyokua nzuri
30/5/2020 tumeondolewa mashaka. Ulichotuaminisha haikuwa Ikulu. Ikulu ndio kwanza inawekewa jiwe la msingi. Na imechukuliwa model ya Ikulu ya Magogoni. Kilichongezeka ni Underground basement na madhali ya Nembo ya Taifa
Screenshot_2020-05-31-04-44-21-1-1.png
 
Kwa sababu wanaongoza Kwa kupinga na kuzusha mambo meengi ya uwongo Kwa asilimia kubwa ni Chama cha upingaji Chadema, Maana hata hii mada ninahakika aliyetuletea ni wa Chadema, basi watu na Chama cha Chadema ni waongo kuliko waongo wote, ni wa kupuuzwa sasaa
 
Mambo yanaendeshwa kwa "ukichaa kichaa" ndio maanA vitu vinakuwa utopolo.
 
Kwa muonekano wa nje, ikulu ya Dar es Salaam ni nzuri kuliko ya Chamwino, japokuwa ilijengwa kipindi cha ukoloni na teknolojia ilikuwa ndogo.

Je, Tanzania tunafeli wapi?
View attachment 1401003View attachment 1401005

Ebu angalia ikulu ya south Africa na ilijengwa kipindi Cha apartheid angalia ilivyokua nzuri

View attachment 1401031
Sasa tufanyeje yani unataka? Kweni Ikulu ni sehemu ya starehe? acha maneno ingia mtaani kafanye kazi kuokoa kizazi na umasikini
 
Wangejenga tu kama ile ya kule chattle alikokuwa amejipumzisha kwa miezi mitatu. Hakuna hela ya mchezo hapa.Au hela ya mchezo ipo kwake tu!?
 
Tunachohitaji Watanzania ni kuwa na kiongozi/viongozi wazuri. Sio jengo zuri. Tunayo bahati ya pekee tumepata kiongozi Jemedari Rais Kipenzi cha Watanzania Dkt John Magufuli, mzalendo wa kweli anayeguswa na matatizo yetu Watanzania. Halali naye hukesha kuyatatua....
 
Back
Top Bottom