Kama nchi hatupo makini ndo maana hata raisi kafa kiajabu ajabu tu .Kwa muonekano wa nje, ikulu ya Dar es Salaam ni nzuri kuliko ya Chamwino, japokuwa ilijengwa kipindi cha ukoloni na teknolojia ilikuwa ndogo.
Je, Tanzania tunafeli wapi?
View attachment 1401003View attachment 1401005
Ebu angalia ikulu ya south Africa na ilijengwa kipindi Cha apartheid angalia ilivyokua nzuri
View attachment 1401031
Kama nchi hatupo makini ndo maana hata raisi kafa kiajabu ajabu tu .