Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Pesa haionekani..pesa haikamatiki, na ukiikamata ni kiduchu ,ni ya kuishikilia kweli kweli. Ikikuponyoka tu,kurudi kwake ni mbinde. Hi ni kwa watu wa kada zote, kuanzia watumishi wa umma, wafanyabiashara, wawekezaji, wakulima, wafugaji na hata wale kule mtaani ambao hawajui hata maana ya neno "ufisadi".
Hata ufanye kazi bila kulala mwaka mzima ni sawa na kazi bure. Service au products zako utamuuzia nani kama mtaani manung'uniko ,simanzi haviishi.
Hela inakwenda wapi? Maana watu wanakusanya Kodi,hazionekani. Hatupewi takwimu za nn kimekusanywa, nini kimetumika na kwenye nini. Tunaambiwa makusanyo yanatumika kulipa madeni ya huko nyuma. How?
Kipindi cha JK kweli ajira zilikuwepo, wanasema tulikuwa na deni kubwa lakini mbona watu walikuwa na maisha mazuri? Malalamiko hayakuwa mengi.
Tunategemea kama hela nyingi zinazokusanywa basi watu wangekuwa na maisha mazuri kuanzia huduma za kijamii zingekuwa safi sana.
Dah.
Hata ufanye kazi bila kulala mwaka mzima ni sawa na kazi bure. Service au products zako utamuuzia nani kama mtaani manung'uniko ,simanzi haviishi.
Hela inakwenda wapi? Maana watu wanakusanya Kodi,hazionekani. Hatupewi takwimu za nn kimekusanywa, nini kimetumika na kwenye nini. Tunaambiwa makusanyo yanatumika kulipa madeni ya huko nyuma. How?
Kipindi cha JK kweli ajira zilikuwepo, wanasema tulikuwa na deni kubwa lakini mbona watu walikuwa na maisha mazuri? Malalamiko hayakuwa mengi.
Tunategemea kama hela nyingi zinazokusanywa basi watu wangekuwa na maisha mazuri kuanzia huduma za kijamii zingekuwa safi sana.
Dah.