Kwa mtazamo wako, ajira gani inatosheleza mahitaji yako yote?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Habari wakuu !

Kila kazi ninayogusa hainipi kipato ambacho kinaweza kusolve matatizo yangu na familia yangu kwa 100%.

Pamoja nimeajiliwa , nimejiajiri pia kwenye projects kadhaa zinazoniingizia pesa.

Sinywi pombe , sifanyi ufuska na sina anasa zozote zile lakini ni issue sana pesa kutosheleza mahitaji yangu.

Mtazamo wako ukoje?
 
Mama ntilie, ninakula kila siku na faida ninajenga nyumba, ninanunua nguo, na kupata hela ya tiba nikiugua na kulipia Ada ya watoto.
Inanisaidia kuondokana na maadui watano
Ujinga
Maradhi,
Makazi
Njaa na
Umasikini
 
Mama ntilie, ninakula kila siku na faida ninajenga nyumba, ninanunua nguo, na kupata hela ya tiba nikiugua na kulipia Ada ya watoto.
Inanisaidia kuondokana na maadui watano
Ujinga
Maradhi,
Makazi
Njaa na
Umasikini
😍😍😍😍
 
Mama ntilie, ninakula kila siku na faida ninajenga nyumba, ninanunua nguo, na kupata hela ya tiba nikiugua na kulipia Ada ya watoto.
Inanisaidia kuondokana na maadui watano
Ujinga
Maradhi,
Makazi
Njaa na
Umasikini
Hakika nakubaliana nawe, kazi inayoweza kukabiliana na hao maadui watano kwa asilimia 70, hiyo humfaa mtu,
Pia ikuwezeshe kuwasaidia baadhi ya wenye uhitaji katika maisha ya Kila siku.
 
On a seriuos note nakumbuka kwenye uchumi tuliambiwa.
Wants are unlimited while money is scarce.
Haitotokea mtu akakamilisha mahitaji yake yote.

Embu fikiria kama ni hivyo nauhakika mama Salma angetulia msoga akacheza na wajukuu tu.
 
Una roho ya kutoridhika.

Nakukumbusha kuwa hivi vyote tumavyovitafuta duniani tutaviacha hapahapa.

Jikubali na ridhika na unachopata, kila mtu angeridhika na anachopata leo tusingesikia rushwa, ufisadi, madawa nk

Jichunge usije ukadumbukia huko kisa mali za ulimwengu.

Mpe Mungu nafasi ya kwanza ktk kile eneo.
 
Kwa wakati huu sawa.
Ukiipata utahangaika tena kutafuta ujira wa laki 6 na kuendelea.
But that's very normal.

Kuna wakati unakuwa desperate mpaka unasema "any job at any amount" ukiipata unajiona bonge la fala na jinsi upp behind time.
Any job at any amount halafu hazitokei vile vile.
 
Reactions: _ID
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…