Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
😍😍😍😍Mama ntilie, ninakula kila siku na faida ninajenga nyumba, ninanunua nguo, na kupata hela ya tiba nikiugua na kulipia Ada ya watoto.
Inanisaidia kuondokana na maadui watano
Ujinga
Maradhi,
Makazi
Njaa na
Umasikini
Hakika nakubaliana nawe, kazi inayoweza kukabiliana na hao maadui watano kwa asilimia 70, hiyo humfaa mtu,Mama ntilie, ninakula kila siku na faida ninajenga nyumba, ninanunua nguo, na kupata hela ya tiba nikiugua na kulipia Ada ya watoto.
Inanisaidia kuondokana na maadui watano
Ujinga
Maradhi,
Makazi
Njaa na
Umasikini
Are you serious?Kazi yoyote ya mshahara kuanzia laki nne.
Yes, madam.Are you serious?
Kwa wakati huu sawa.Yes, madam.
Any job at any amount halafu hazitokei vile vile.Kwa wakati huu sawa.
Ukiipata utahangaika tena kutafuta ujira wa laki 6 na kuendelea.
But that's very normal.
Kuna wakati unakuwa desperate mpaka unasema "any job at any amount" ukiipata unajiona bonge la fala na jinsi upp behind time.