Kwa mpira niliouona jana Yanga ikicheza,sasa ndo nmejua kuwa...

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,802
1. Yanga ya msimu uliopita ilikua bora kabsa kuliko msimu huu.
2. Makambo alikua bonge la striker
3.Gadiel ni bonge la beki na Yanga walifanyakosa kubwa kumuacha.
4.Zahera hajui kusajili,hata kwa Makambo alibeti tu kwani madudu ya Kindoki mnayakumbuka
5.Wachezaji wa Yanga wa msimu huu hata wakae pamoja miaka elfu 1000 hawawezi kubadilika na kutengeneza kombinesheni
6 Yanga hii ndio inayocheza mpira mbovu kabsa toka nianze kuishabikia mwaka ya 1992
7.Utaratibu wa kumpa kocha uhuru wa kusajili kwa nchi zetu bado sn kwani huishia kusajili mabinamu na wajomba zake. Hata Ndailagije anahiyo tabia.
8.Sielewi Zahera anafundisha nn mazoezini kwani mpira unaochezwa Yanga haueleweki. Wachezaji hawawezi kipiga pasi za maana,hawana spidi( Wazito sn) ukimuondoa Balama na Ngasa, Mafowadi wote mbele ni mizigo
9. TZ tunawachezaji wazuri sn kuliko hawa maproo wanakuja kupiga hela zetu na kuondoka. Salamba pamoja na mapungufu yake huwezi linganisha na uchafu Moringa. Na hayo tu wakuu. Yanga mbele daima nyuma mwiko.
 
1. Yanga ya msimu uliopita ilikua bora kabsa kuliko msimu huu.
2. Makambo alikua bonge la striker
3.Gadiel ni bonge la beki na Yanga walifanyakosa kubwa kumuacha.
4.Zahera hajui kusajili,hata kwa Makambo alibeti tu kwani madudu ya Kindoki mnayakumbuka
5.Wachezaji wa Yanga wa msimu huu hata wakae pamoja miaka elfu 1000 hawawezi kubadilika na kutengeneza kombinesheni
6 Yanga hii ndio inayocheza mpira mbovu kabsa toka nianze kuishabikia mwaka ya 1992
7.Utaratibu wa kumpa kocha uhuru wa kusajili kwa nchi zetu bado sn kwani huishia kusajili mabinamu na wajomba zake. Hata Ndailagije anahiyo tabia.
8.Sielewi Zahera anafundisha nn mazoezini kwani mpira unaochezwa Yanga haueleweki. Wachezaji hawawezi kipiga pasi za maana,hawana spidi( Wazito sn) ukimuondoa Balama na Ngasa, Mafowadi wote mbele ni mizigo
9. TZ tunawachezaji wazuri sn kuliko hawa maproo wanakuja kupiga hela zetu na kuondoka. Salamba pamoja na mapungufu yake huwezi linganisha na uchafu Moringa. Na hayo tu wakuu. Yanga mbele daima nyuma mwiko.
Yanga bora mjitoe kwenye ligi timu ndogo inakufungeni mpaka mnapewa msaada na refa
 
Pale Yanga namwona
Balama
Shishimbi
Yondani na
Ngasa tu
Wanaocheza mpira wa Yanga.
 
Pale tatizo ni kocha ameishiwa mbinu anabaki kulalamika timu haina muunganiko tangu mwezi wa saba haiungani tu pamba tu wenyewe mbona wanapiga mpira mzuri yeye ni butua butua hana jipya nashangaa na hao bado wanaomshabikia
 
Mwisho wa Zahera ni mechi ya Simba Vs Yanga aombe Mungu amsaidie atoe hata droo. Akigeuzwa Azam baaaasi atatiimuliwa
 
Zahera yeye ndie mwenyekiti, muhasibu, msemaji wa timu, kocha, balozi hahahaaaaa hiyo timu au duka ? Kocha kawa spana malaya yenye matundu meengi.
 
simba timu bora imetolewa klabu bingwa raundi ya awali, yanga mbovu bado inasonga mbele, na itabeba kombe
 
hao hao yanga waliofungwa na pamba wameitoa mabingwa wa botswana township rollers walioenda kujiandaa africa kusini kama simba, mpira sio chenga wala pasi mpira ni mbinu na magoli, hao hao yanga mbovu watachukua kombe la africa
Haahaaaahaaaaaa...
Tunatuma msg kwa namba ipi ili kupata vichekesho kama hivi mkuu!??
 
Tshishimbi kiukweli mimi namuona ndo ana tatizo kubwa sana maana hawezi kaa na mpira na hawezi piga pasi kwa usahihi.
Sielewi kwanini kocha anaendelea kumtumia kama kiungo wakati hana uwezo hata wa kupandisha timu mbele.
 
Tshishimbi kiukweli mimi namuona ndo ana tatizo kubwa sana maana hawezi kaa na mpira na hawezi piga pasi kwa usahihi.
Sielewi kwanini kocha anaendelea kumtumia kama kiungo wakati hana uwezo hata wa kupandisha timu mbele.
Mkuu ww unajua kutazama mpira.Nmewahi leta uzi hapa kueleza tatizo kubwa la Yanga eneo la kiungo na nikaeleza kwa kina mapungufu ya Shishimbi na jinsi anavyoighalimu timu. Wengi hawakunielewa kabsa!! Nafurahi na ww umelibaini hilo
 
Bado kidogo mtavua nguo sokoni yaani wale wahindi mliowasajiri ndiyo mnaona wachezaji bora Sana msimu huu mtanunua Sana mechi mwisho wa siku round ya kwanza nje mnarudi kuimba kibao kata
 
Back
Top Bottom