Fiston Mayele akiondoka Yanga kwa tamaa, atapotea, bora abaki kulinda heshima yake

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
438
1,752
Mshambuliaji hatari wa Yanga S.C ambaye pia ni mfungaji bora wa kombe la Losers na lile la NBC premier league, mkongoman Fiston Mayele inasemekana huenda msimu ujao akaenda kupata changamoto katika nchi nyingine kufuatia uwezo mkubwa wa kufumania nyavu aliouonyesha.

Kwa kweli hata sisi mashabiki na wanachama na viongozi wa Simba tunakiri pasipo shaka ingawa hatuwezi kusema wazi wazi kuwa Mayele ni jini.

Sitaki kuandika mengi, kwa sababu wabongo hawana utamaduni wa kupenda kusoma ndio maana wajinga ni wengi, kila kitu wao kazi yao ni kutukana na kubisha, hata mtu anapotoa maoni yake kwa mujibu wa katiba, bado anaambulia matusi.

Ila namshauri Mayele abaki hapa hapa bongo ili kulinda heshima na kipaji chake.Kwann nasema hivi?

1. Umri wa Mayele umekwenda sana na hakuna klabu inayoweza kusajili mchezaji wa umri wake kwa kuvunja kibubu.

2.Mpira wa bongo ni tofauti kabisa kabisa na huko anakotaka kwenda, hapa bongo mchezaji anakuwa bora sana kwa sababu anaongezewa na mambo mengine nje ya uwanja, mfano dua na ndumba.Ndio maana wachezaji wa kigeni hapa bongo wakitoka kidogo kwenda kusaka malisho pengine wanashindwa na wanaambulia benchi.

3. Bongo wachezaji wa kigeni wanathaminiwa sana, wakienda mikoani huko mashabiki wanalilia selfie, nje ya bongo hiyo huipati.

4.Bongo mpira unapendwa sana, ukiondoa waarabu hv ss Bongo inaongoza kwa kujaza watu michuano ya CAF.

5.Thamani anayopewa Mayele hapa bongo huko aendako haipo.

6.Amuulize Makambo, Chama na Micquisone, hao walitamba sana bongo kwa sababu walibustiwa na mambo ya nje ya uwanja, ss hv tuko nao na Makambo anataka kwenda Tabora United.

7.Mayele amecheza kila mechi ndio maana yuko fiti kichizi, mchezaji ili awe vzr anahitaji kucheza mara kwa mara, huko aendako Mayele anaenda kugombania namba na watu wenye akili zao, huko hakuna nafasi kwa mashabiki kupiga makelele kama Taifa kushinikiza kocha amuingize.Haipo huko.

Kwahiyo mimi naona Mayele anaenda kupotea akiondoka nchini.
 
Ligi ya bongo huijui kama unataka kuijua ngoja abaki Yanga msimu ujao kama mtamtamani Mayele kiwango kitashuka kama sio yeye
 
Wabongo kwa kulaani tu hawajambo,sijui wangekuwa ni Miungu wangehukumu vp wanadamu wenzao,yaani mtu kapata timu yenye maslahi mapana zaidi kwake ,eti asiennde akusikilize wewe mwenye mahaba na timu.

Aliyekuambia kwamba mchezaji ana mapenzi na timu ni nani,mchezaji siku zote ana mapenzi na pesa,mpe mpunga umbakize sio kumuombea njaa tu huko aendako.
 
Heshima haileti kipande cha mkate kwa familia, aache kwenda kutengeneza zar abaki na tshs kisa heshima hii ni craze, opportunity ikitokea kwake ikawa ni bora ,ni vema aende akakimbize future nzuri ya familia yake.

Akina Jella Mtagwa waliocheza kwa heshima anateseka mpaka leo na royality yake ya stamps hamkumpa, serikali ya CCM hawana moral kabisa, siku akifa ndio mtajitokeza na vimichango vyao vya show off
 
"Kwa kweli hata sisi mashabiki na wanachama na viongozi wa Simba tunakiri pasipo shaka ingawa hatuwezi kusema wazi wazi kuwa Mayele ni jini."

Wewe siyo shabiki wa Simba nyinyi mna kawaida ya kuzuia wachezaji kupata changamoto nyingine.Kama kuna maslai makubwa ataondoka tu otherwise kama mna misuli mtunishe na nyie..
 
Yanga wasimwachie aondoke..maana gap yake ni ngumu sana kuzibika..mwaka ujao watakuwa ba hali mbaya huyu jamaa akiondoka..
 
Mshambuliaji hatari wa Yanga S.C ambaye pia ni mfungaji bora wa kombe la Losers na lile la NBC premier league, mkongoman Fiston Mayele inasemekana huenda msimu ujao akaenda kupata changamoto katika nchi nyingine kufuatia uwezo mkubwa wa kufumania nyavu aliouonyesha.

Kwa kweli hata sisi mashabiki na wanachama na viongozi wa Simba tunakiri pasipo shaka ingawa hatuwezi kusema wazi wazi kuwa Mayele ni jini.

Sitaki kuandika mengi, kwa sababu wabongo hawana utamaduni wa kupenda kusoma ndio maana wajinga ni wengi, kila kitu wao kazi yao ni kutukana na kubisha, hata mtu anapotoa maoni yake kwa mujibu wa katiba, bado anaambulia matusi.

Ila namshauri Mayele abaki hapa hapa bongo ili kulinda heshima na kipaji chake.Kwann nasema hivi?

1. Umri wa Mayele umekwenda sana na hakuna klabu inayoweza kusajili mchezaji wa umri wake kwa kuvunja kibubu.

2.Mpira wa bongo ni tofauti kabisa kabisa na huko anakotaka kwenda, hapa bongo mchezaji anakuwa bora sana kwa sababu anaongezewa na mambo mengine nje ya uwanja, mfano dua na ndumba.Ndio maana wachezaji wa kigeni hapa bongo wakitoka kidogo kwenda kusaka malisho pengine wanashindwa na wanaambulia benchi.

3. Bongo wachezaji wa kigeni wanathaminiwa sana, wakienda mikoani huko mashabiki wanalilia selfie, nje ya bongo hiyo huipati.

4.Bongo mpira unapendwa sana, ukiondoa waarabu hv ss Bongo inaongoza kwa kujaza watu michuano ya CAF.

5.Thamani anayopewa Mayele hapa bongo huko aendako haipo.

6.Amuulize Makambo, Chama na Micquisone, hao walitamba sana bongo kwa sababu walibustiwa na mambo ya nje ya uwanja, ss hv tuko nao na Makambo anataka kwenda Tabora United.

7.Mayele amecheza kila mechi ndio maana yuko fiti kichizi, mchezaji ili awe vzr anahitaji kucheza mara kwa mara, huko aendako Mayele anaenda kugombania namba na watu wenye akili zao, huko hakuna nafasi kwa mashabiki kupiga makelele kama Taifa kushinikiza kocha amuingize.Haipo huko.

Kwahiyo mimi naona Mayele anaenda kupotea akiondoka nchini.
vyote ulivyosema hapo ni sahihi lakini havifui dafu mbele ya pesa
 
Acheni uchawi.yani ww upate sehemu yenye mshahara mkubwa usiende..let him get his bag
 
Mshambuliaji hatari wa Yanga S.C ambaye pia ni mfungaji bora wa kombe la Losers na lile la NBC premier league, mkongoman Fiston Mayele inasemekana huenda msimu ujao akaenda kupata changamoto katika nchi nyingine kufuatia uwezo mkubwa wa kufumania nyavu aliouonyesha.

Kwa kweli hata sisi mashabiki na wanachama na viongozi wa Simba tunakiri pasipo shaka ingawa hatuwezi kusema wazi wazi kuwa Mayele ni jini.

Sitaki kuandika mengi, kwa sababu wabongo hawana utamaduni wa kupenda kusoma ndio maana wajinga ni wengi, kila kitu wao kazi yao ni kutukana na kubisha, hata mtu anapotoa maoni yake kwa mujibu wa katiba, bado anaambulia matusi.

Ila namshauri Mayele abaki hapa hapa bongo ili kulinda heshima na kipaji chake.Kwann nasema hivi?

1. Umri wa Mayele umekwenda sana na hakuna klabu inayoweza kusajili mchezaji wa umri wake kwa kuvunja kibubu.

2.Mpira wa bongo ni tofauti kabisa kabisa na huko anakotaka kwenda, hapa bongo mchezaji anakuwa bora sana kwa sababu anaongezewa na mambo mengine nje ya uwanja, mfano dua na ndumba.Ndio maana wachezaji wa kigeni hapa bongo wakitoka kidogo kwenda kusaka malisho pengine wanashindwa na wanaambulia benchi.

3. Bongo wachezaji wa kigeni wanathaminiwa sana, wakienda mikoani huko mashabiki wanalilia selfie, nje ya bongo hiyo huipati.

4.Bongo mpira unapendwa sana, ukiondoa waarabu hv ss Bongo inaongoza kwa kujaza watu michuano ya CAF.

5.Thamani anayopewa Mayele hapa bongo huko aendako haipo.

6.Amuulize Makambo, Chama na Micquisone, hao walitamba sana bongo kwa sababu walibustiwa na mambo ya nje ya uwanja, ss hv tuko nao na Makambo anataka kwenda Tabora United.

7.Mayele amecheza kila mechi ndio maana yuko fiti kichizi, mchezaji ili awe vzr anahitaji kucheza mara kwa mara, huko aendako Mayele anaenda kugombania namba na watu wenye akili zao, huko hakuna nafasi kwa mashabiki kupiga makelele kama Taifa kushinikiza kocha amuingize.Haipo huko.

Kwahiyo mimi naona Mayele anaenda kupotea akiondoka nchini.
Mjini tumetumwa fedha sio heshima
 
Back
Top Bottom