Kwa moyo wote

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
[h=3]Kwa moyo wote!

Sababu za kuwa na migogoro kati ya mume na mke mara nyingi ni kwa sababu wanaume hawawaelewi kabisa wanawake (don’t understand) na wanawake wanawaelewa vibaya wanaume (misunderstand).
Kibaya zaidi wanaume mara zote huendelea kufanya kinyume na vile wanawake wanategemea wawafanyiwe na waume zao.
Na wanaume nao wanawashangaa wanawake namna wanavyobadilika kila mara kwani unaweza kumkuta mke dakika moja yupo na furaha na kicheko na baadae kidogo anajikunyata na kuhuzunika na wanaume huwaona wanawake ni viumbe wa ajabu sana chini ya jua.
Linapokuja suala la kutafuta mpenzi (mume mtarajiwa) wanawake wanatabia ya kumkubali na kumshika mwanaume mzima mzima. Na hutumia akili kuhakikisha anamnasa hata kwa kujipitisha sehemu au njia ambazo anaamini anaweza kukutana naye.
Kama anajua mwanaume yule hupatikana maeneo fulani na anampenda basi hujipeleka hilo eneo ili wakutane ili iwe coincidence fulani.
Atasubiri hako kanafasi ili wakutane ghafla.
Mwanamke hutumia njia ya hisia anapoingia kwenye suala la mapenzi na kuwa karibu na kifua chake (moyo) si mwonekano kama wanavyofanya wanaume.
Kawaida mwanaume huchelewa sana kufungua moyo kwa mwanaume na akishaufungua huufungua kwa asilimia 100 na akimpenda huyo mwanaume (fall in love) basi huwekeza kila kitu maishani mwake kwa ajili ya
[/h]
 
NAMNA WANAUME HUCHEMKA WAKATI WA KUSAKA MPENZI
Kwa kuwa wanapenda urembo, sura na mwonekano wa nje kwa mwanamke na huamini kwamba kwa kuwa huyu mwanamke (dada) ni beautiful lazima atakuwa na tabia njema, mwelewa, mvumilivu, amelelewa vizuri na mwema na wanajisahau kufahamu sifa za mwanamke ambaye anafaa kwa mahusiano (sifa na mitazamo ya mwanamke), matokeo yake wanaume huchanganya upendo na tamaa (love/lust). Matokeo yake hutumia muda wao na nguvu zao kusherehekea urembo wa mwanamke badala ya kuchunguza sifa za ndani ambazo pia kazi yake ili kufahamu ni ngumu au huchosha. Akili yake inamtuma kumpa kwanza huyo mrembo na baadae atafahamu tabia yake.
In dating game, men are usually disaster!
Unaweza kusoma hapa chini kwa maelezo zaidi
 
[h=3]Ndivyo Walivyo![/h]

Wanaume hawapo interested in losing battle.
Wapo trained kushindwa na wasipo shinda kama timu basi angalau yeye binafsi awe na sifa inayoonesha alikuwa tofauti.
Wanaume wanapotazama sport yoyote let say Soka, mood hubadilika kutokana na matokeo.
Kama mume wako ni shabiki ya timu fulani (iwe Yanga, Simba, Arsenal, Man U, Liverpool nk) siku timu yake kufungwa unajua na siku ikishinda unajua na kuna tofauti kubwa katika mood.
Hata hivyo hiyo attitude ya ku-win ina uhusiano mkubwa sana na ndoa yake.
Mke anayemfanya mwanaume kujiona failure na loser nyumbani kwake humpa wakati mgumu sana mume wake kwani huharibu kabisa utu wake (ego) kiasi ambacho ni hatari sana kwa mahusiano yao ya ndoa.
Mwanaume akishajisemea moyoni sentensi ifuatayo “I feel I can’t win no matter what I do” basi mwanamke inabidi ajipange upya.
Kinachotokea kwa huyu mwanaume ni kujiweka kwenye kibox chake na kuwa mbali na mwanamke kihisia na mke hujisikia mume yupo unloving na ndipo mgogoro huanza.
Mwanamke anayempokea mume kwa uso wa huzuni na hasira na maneno mengi ya kusemana na kulalamika (kefyakefya) bila kumpa hata dakika kadhaa apumzike au kama kila siku akirudi nyumbani jioni anakutana na kasheshe kutoka kwa mke, mwanaume hujiona ni loser na failure na atafanya kila analoweza kukwepa kurudi mapema nyumbani.
“When a man can’t win at home, he will start looking to win somewhere else”
Pia wapo wanawake huwatuhumu mno waume zao (too much suspicious) kiasi cha kusababisha mume kujisikia haheshimiwi na matokeo yake mwanaume huamua kufanya kweli kwa kufanya kile mke anamtuhumu.
“Why go lengths to avoid cheating if my wife is going to think I am cheating?”
Kama haheshimiwi nyumbani basi ataanza kutafuta ne game ambayo itamfanya kujiona anaheshimiwa.
Jambo linaloleta matumaini ni kwamba:
Mume anapojisikia ana win nyumbani kwake atajitahidi kufanya kila anachoweza kum-please mke wake hapo nyumbani.
Hii ina maana mke anayempa mume wake respect, appreciation na loving gesture basi atamwezesha mume kufanya kazi kwa kujituma na atakuwa sensitive kutimiza mahitaji ya mke wake kimwili na kiroho.
 
Back
Top Bottom