Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Sisemi kwa ubaya
ila nahisi kuna wakati wanajeshi wanaitajika kuchapa makofi hawa askari wa baarabarani wapate akili kidogo
tuko njia ya kutoka mwenge kwenda ubungo wapendwa tumezima na kuwasha gari sasa ni 1hr na atujui cha zaidi ya kuona askari mmoja anaongoza magari upande mmoja tu
mbaya amewaona wanajeshi akawaruhusu kupita upande wa pile kitu ambacho akruhusiwi
anyway nakushauri kama aunapita njia hii usisubuthu kabisa mimba ya haja
ila nahisi kuna wakati wanajeshi wanaitajika kuchapa makofi hawa askari wa baarabarani wapate akili kidogo
tuko njia ya kutoka mwenge kwenda ubungo wapendwa tumezima na kuwasha gari sasa ni 1hr na atujui cha zaidi ya kuona askari mmoja anaongoza magari upande mmoja tu
mbaya amewaona wanajeshi akawaruhusu kupita upande wa pile kitu ambacho akruhusiwi
anyway nakushauri kama aunapita njia hii usisubuthu kabisa mimba ya haja