Kwa mlo huu niko sawa?

Kwa mlo huu niko sawa?

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,392
Reaction score
1,416
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takriban miezi kadhaa huwa nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) halafu nakuja kula jioni saa 12 au usiku muda usiozidi saa 4).

Kwa kufanya hivyo, toka mwaka 2019 nimekuwa na kilo 69, muda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea humo) ila mwaka 2018 niliwa kuwa na kilo 89 ila mwili wangu ulikuwa hivi hivi...
 
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takribani miezi kadhaa hua nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) alafu nakuja kula jion saa 12 au usku mda usio zidi saa 4)...

kwa kufanya ivo, toka mwaka 2019 nmekua na kilo 69, mda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea umo) ila mwaka 2018 niliwa kua na kilo 89 ila mwili wangu ulkua hivi hivi...
274601607_3187932348089016_7425745083230943194_n.jpg
 
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takribani miezi kadhaa hua nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) alafu nakuja kula jion saa 12 au usku mda usio zidi saa 4)...

kwa kufanya ivo, toka mwaka 2019 nmekua na kilo 69, mda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea umo) ila mwaka 2018 niliwa kua na kilo 89 ila mwili wangu ulkua hivi hivi...
Kama wataka kupungua zaidi

Ungepunguza chapati

Ina energy sana kuliko chakula cha wanga chochote, naiheshimu chapati.

Mi nikifanya diet huwa naila mara moja moja sana.
 
Sawa mkuu
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takribani miezi kadhaa hua nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) alafu nakuja kula jion saa 12 au usku mda usio zidi saa 4)...

kwa kufanya ivo, toka mwaka 2019 nmekua na kilo 69, mda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea umo) ila mwaka 2018 niliwa kua na kilo 89 ila mwili wangu ulkua hivi hivi...
 
Mkuu, wekeza zaidi kwenye matunda na mboga mboga ila milo miwili fresh tu. Sema hapa katikati usiache tumbo liwe wazi sana.

Unaweza kushtua na ndizi mbili hapo kati au chungwa.
 
Diet manina kweli, mwezi uluopita niliumwa moyo usiku nikajisemea kula kunaniuwa hivi hivi naacha wanangu. Sili diet lakini naona mpangilio wangu unanisaidia
 
Soma hapa Kwa maarifa zaidi kuhusu hilo.


Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takriban miezi kadhaa huwa nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) halafu nakuja kula jioni saa 12 au usiku muda usiozidi saa 4).

Kwa kufanya hivyo, toka mwaka 2019 nimekuwa na kilo 69, muda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea humo) ila mwaka 2018 niliwa kuwa na kilo 89 ila mwili wangu ulikuwa hivi hivi...
 
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takriban miezi kadhaa huwa nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) halafu nakuja kula jioni saa 12 au usiku muda usiozidi saa 4).

Kwa kufanya hivyo, toka mwaka 2019 nimekuwa na kilo 69, muda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea humo) ila mwaka 2018 niliwa kuwa na kilo 89 ila mwili wangu ulikuwa hivi hivi...
Kuna somo alitoa Prof. Janabi wa Muhimbili linaweza kukusaidia kuelewa zaidi usahihi au utofauti wa kula yako, hebu mtafute youtube
 
Back
Top Bottom