Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,806
Tucta hii ambayo viongoz wake wana kadi ya chamaLawama ziwafikie TUKTA na timu yao ya uongozi.
Tangu aingie mapembe hawajawahi kutoa waraka wakinaume wala kuitisha mgomo ilhali watumishi wanaliwa 2% kila mwezi.
Mimi kuna wapuuzi waliniletea fomu za TUGHE nikazipokea nikaenda kufungia wateja wangu bidhaa dukani kwangu.