Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Jun 24, 2015 #1 (1)Mkude aliliwa na simba kwa mbinde saana, alifukuzwa na simba toka porini akaja kuliwa mlangoni kwake! (2)Mkude aliovatekiwa na mloka kwa mbiiinde saana, aliongoza ligi toka matombo akaja kupitwa kabla ya kuingia stand msamvu!
(1)Mkude aliliwa na simba kwa mbinde saana, alifukuzwa na simba toka porini akaja kuliwa mlangoni kwake! (2)Mkude aliovatekiwa na mloka kwa mbiiinde saana, aliongoza ligi toka matombo akaja kupitwa kabla ya kuingia stand msamvu!
007 De Souza JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 901 Reaction score 486 Jun 25, 2015 #2 Nimeelewa hii thread kwa mb'iiinde sana!
nordy Member Joined Jun 16, 2015 Posts 22 Reaction score 1 Jun 25, 2015 #3 kwa mbiiinde sana mnieleweshe maana sijaielewaa