Kwa matokeo ya fm 6 hili lipoje?

Kwa matokeo ya fm 6 hili lipoje?

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Heshima kwenu wandugu.
Naomba kuuliza jambo moja,hivi inawezekana kuunganisha matokeo ya NECTA ya form 6 ya kikao kimoja na kikao kingine ili kuqualify kuapply nafasi ya masomo let say diploma.
Kwa mfano mwaka 2013 alipata principle pass 1 tu bila hata subsidiary na mwaka 2014 akapata subsidiary tu bila principle pass yoyote kwenye combination yake.Hivyo kama ataunganisha vyeti basi atakuwa amekidhi vigezo vya kujiunga na mafunzo ya diploma.

Naombeni mawazo yenu wadau.
 
Me nimeonganisha matokeo ya mwaka 2011 nilipata principal pass moja na subsidiary zote na mwaka 2015 nimepata principles pass 2 nimeonganisha nimekuwa na principles 3 na subsidiary moja nimefanya application ya bachelor so me nazan inawezekanaaa
 
Back
Top Bottom