Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
Kama unahitaji vitabu na past-papers za cpa tz basi ondoa shaka, Vitabu vyote vipo kasoro B6, C2 na C3
Tembelea website hii CPA (T) RESOURCES
Tembelea website hii CPA (T) RESOURCES
You are welcomeHamna sehemu nmekuta uzi wa maana kama huu...jf nzima..u got my respect.
Sent using Jamii Forums mobile app
welcome sana,HESHIMA KWAKO MKUU
Vitu vya maana hivi huwezi kuona watu.Ila ingekua ni website yenye vitabu vya jinsi ya kuwafikisha wanawake na kukuza vibamia ingekua thread kwenye page za 50 huko.
Big up sana chief.
Ni ya kipuuzi lakini ndio yanayowaunganisha watu wote hata wale wasiosoma. Yakija hayo wote twaongea lugha moja.Vitu vya maana hivi huwezi kuona watu.Ila ingekua ni website yenye vitabu vya jinsi ya kuwafikisha wanawake na kukuza vibamia ingekua thread kwenye page za 50 huko.
Big up sana chief.
Kaka pm kwako inagoma nilitaka unisaidie nikutumie pesa unitafutie hardcopyKama unahitaji vitabu na past-papers za cpa tz basi ondoa shaka, Vitabu vyote vipo kasoro B6, C2 na C3
Tembelea website hii CPA (T) RESOURCES
KUTOA NI KUJALI, kama una vitabu vilivyokosekana (B6, C2, C3) na past papers za bodi naomba utume kwenda kijanicity15@gmail.com
Mtapewa Vitabu vya stydy text vipya kwasababu syllabus mpya ilipitishwa mwezi machi, kafatilie syllabus pamoja na Vitabu vipyaWakuu mie ndo nataka nianze na ATEC. Material ntapata wapi? Maana naona kuna za pro level tu hapa
Thanx mkuu.Mtapewa Vitabu vya stydy text vipya kwasababu syllabus mpya ilipitishwa mwezi machi, kafatilie syllabus pamoja na Vitabu vipya
Mungu akubariki kwa maana umenisaidia nimeweza kudownload C3 na C2 ila bado B6 naona hiki kitabu kigumu kupatikanaKama unahitaji vitabu na past-papers za cpa tz basi ondoa shaka, Vitabu vyote vipo kasoro B6, C2 na C3
Tembelea website hii CPA (T) RESOURCES