miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,468
- 8,288
Poleni na shughuli. Jaman mwenzenu sijawahi kuwa mbea ila leo yamenikuta kumbe ndio mambo yanakuwaga hivi....?
Kuna Mteja alileta kazi hapa officin kwangu kwa kuwa nilikua busy na kazi nyingine na yeye alikua na haraka na kazi yake nika mwambia aje nayo kesho .
Kesho yake hakuja nayo hadi kama wiki hivi ikapita ndio akarudi na lawama kibao kua samahani nilipeleka kazi office nyingine na hiyo kazi huko ikawa imeharibiwa na wameingia kwenye mzozo na mwenye hiyo office na kudai kuwa anampeleka police kwa kumuharibia kazi yake akaongea pale akamaliza akaondoka. Kumbe Yale maneno ya kupelekana police alikua ameniambia Mimi tu.hahahaaha
Na huyo ndugu mwenye hiyo office tupo Jirani wala hata simfahamu na msikiaga tu basi bwana kuna watu wakawa wamekuja officin kwangu katika story za hapa na pale nikawa nimegusia kuwa waache utani wasije nipeleka police kama Jirani yangu tukacheka yakaisha.
Kesho yake jioni sasa nashangaa yule Mteja anakuja ananilaumu kwa nini nimemuambia jamaa kuwa anataka kumpeleka police . Aisee nilitoa macho kidogo yadondoke huku najiuliza nani tena kapeleka ....? Nikamuuliza vipi mzee kwani ulituambia wangapi .......? Akajibu aliniambia Mimi mwenyewe tu. Hahahahaa ....akanilaumu sana daaa nimejisikia vibaya sana .
Jamani maneno yanatembea tuwe makini na vinywa vyetu. Yaani mwanaume mzima na gololi zangu nimekua mdogo hadi dushe lilizama ndani kama kichwa cha Kobe. Kusutwa noma wazeee..haaaahahahah
Tunaweza endelea kushea visa vingine
Kuna Mteja alileta kazi hapa officin kwangu kwa kuwa nilikua busy na kazi nyingine na yeye alikua na haraka na kazi yake nika mwambia aje nayo kesho .
Kesho yake hakuja nayo hadi kama wiki hivi ikapita ndio akarudi na lawama kibao kua samahani nilipeleka kazi office nyingine na hiyo kazi huko ikawa imeharibiwa na wameingia kwenye mzozo na mwenye hiyo office na kudai kuwa anampeleka police kwa kumuharibia kazi yake akaongea pale akamaliza akaondoka. Kumbe Yale maneno ya kupelekana police alikua ameniambia Mimi tu.hahahaaha
Na huyo ndugu mwenye hiyo office tupo Jirani wala hata simfahamu na msikiaga tu basi bwana kuna watu wakawa wamekuja officin kwangu katika story za hapa na pale nikawa nimegusia kuwa waache utani wasije nipeleka police kama Jirani yangu tukacheka yakaisha.
Kesho yake jioni sasa nashangaa yule Mteja anakuja ananilaumu kwa nini nimemuambia jamaa kuwa anataka kumpeleka police . Aisee nilitoa macho kidogo yadondoke huku najiuliza nani tena kapeleka ....? Nikamuuliza vipi mzee kwani ulituambia wangapi .......? Akajibu aliniambia Mimi mwenyewe tu. Hahahahaa ....akanilaumu sana daaa nimejisikia vibaya sana .
Jamani maneno yanatembea tuwe makini na vinywa vyetu. Yaani mwanaume mzima na gololi zangu nimekua mdogo hadi dushe lilizama ndani kama kichwa cha Kobe. Kusutwa noma wazeee..haaaahahahah
Tunaweza endelea kushea visa vingine