Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Vatican makao makuu ya kanisa katoliki duniani yapokea hija takatifu ya kwanza rasmi ya watu wanaoingiliana kinyume na maumbile.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa. Takriban watu 1,400 kutoka nchi 20 walishiriki, wakiongozwa na mashirika kama La Tenda di Gionata, wakifanya ibada na maandamano hadi Basilika ya Mtakatifu Petro. Tukio hili linaonekana kama ishara ya kukubalika zaidi ndani ya Kanisa,

Maaskofu waliruhusu na kuwapa baraka zote watu hao kuingia kanisani wakiwa na misalaba yenye rangi za upinde huku wajikitangaza wao ni lgbt.

Mijadala imezuka kuhusu kwanini Kanisa Katoliki linakemea wadhambi wengine lakini limekuwa likiunga mkono na kutolaani wadhambi wa kuingiliana kinyume na maumbile kwa kisingizio cha kutoonyesha ubaguzi. Hali hii inaonekana wazi kwamba lengo ni kuhalalisha dhambi hii na kuifanya ionekane kuwa jambo la kawaida, jambo ambalo litachochea wadhambi hawa kuanza kueneza dhambi hii ndani ya makanisa hasa kwa waumini vijana wadogo.

Wameingia kanisani wakiwa na imani kuwa wanachofanya sio dhambi, hawapo tayari kutubu wala kuwa na nia ya kuacha. Viongozi wa kanisa wameonyesha kuwaunga mkono kwa kutokukemea wala luwaasa wanachofanya ni dhambi wanayopaswa kuachana nayo kama ilivyo kwa wadhambi wengine. ushindi huu sio wenye lengo la kuwa sehemu ya kanisa ili kujitoa katika dhambi hiyo, bali ni ushindi wa harakati za muda mrefu za kushinikiza kanisa kuwatambua na kuwakubali wawe sehemu ya waumini huku wakipewa uhuru na sapoti ya kuendelea kuingiliana kinyume na maumbile



==============================================

The Vatican has included an event organised by LGBT Catholics on its official online calendar for the upcoming 2025 Roman Catholic Holy Year, in an unusual sign of openness by the global Church toward the gay community.

A pilgrimage by the Italian group "La Tenda di Gionata" (Jonathan's Tent), set for next September, is listed among the hundreds of events planned for the Jubilee, which is expected to bring some 32 million tourists to Rome next year.

The group, which describes its goal as to promote the welcoming of LGBT people within the Church, is expected to host a prayer vigil at a local Rome parish before making a trip to St. Peter's Basilica.

A Vatican official told Reuters the inclusion of the group on the calendar did not imply support of its events.
"They are not sponsored activities," said Agnese Palmucci, a spokesperson for the Vatican's evangelization office, which is organising the Jubilee.

Rome is the global centre of the Catholic Holy Year, which opens on Dec. 24, Christmas Eve, and runs through Jan. 6, 2026. Jubilees like this normally occur once every 25 years.

Source: Reuters
 
Mtu yeyote mwenye dhambi iwe jambazi, kibaka, mfir*ji, mchawi, n.k. anaweza kwenda kanisani wakijua wanachofanya ni chukizo mbele ya Mungu, wanahitaji kutubu, kujutia, kupokea mafundisho, n.k.

Tatizo ni kwamba hao wa**raji, wa**rwaji na wasagaji wanapokelewa kanisa katoliki hawaambiwi wanachofanya ni dhambi wabadilike, hawana haja ya kujutia wala kutubu na wanaona uovu wanaofanya ni una baraka zote.

Kinachotokea hawa watu wanapata hadi confidence ya kuanza kutongoza waumini wenye jinsia sawa humo humo kanisani na kuwaingiza kwenye hio michezo kwasababu hawaoni wakifanya dhambi yoyote

Huwezi kuona makundi mengine ya wadhambi yakikaribishwa rasmi kanisani na Kubarikiwa, mifano majambazi, wauaji, wachawi n.k. Kwanini iwe kwa Wa**raji, wa**rajwi na wasagaji ? Naam ! wala hujakosea ulichofikiria, ndilo jibu.
 
Vatican yapokea hija takatifu ya kwanza rasmi ya watu wanaoingiliana kinyume na maumbile.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa. Takriban watu 1,400 kutoka nchi 20 walishiriki, wakiongozwa na mashirika kama La Tenda di Gionata, wakifanya ibada na maandamano hadi Basilika ya Mtakatifu Petro. Tukio hili linaonekana kama ishara ya kukubalika zaidi ndani ya Kanisa,

Mkuu unaweza kututumia hiyo ratiba ya mwaka wa Jubilei ili na sisi tuisome?
 
Official logo ni hii
cq5dam.thumbnail.cropped.500.281.jpeg
 
Yesu alikula na kunywa na wadhambi.
alikula na kunywa na wadhambi wenye nia ya kuziacha watakaswe

Hao wa vatican hawapo tayari kuziacha, kwanza hata papa aliwapa moyo wanachofanya sio dhambi

Taratibu ila kwa uhakika kanisa katoliki litafanya watoto wenu waanze kuona ni jamba la heshima kuingiliana kinyume na maumbile kwasababu hata maaskofu watakuwa upinde
 
Kuna mstar mdogo wa utofauti upo katkat hapo ambao weng hawaelewi...

Ila kabla sijafafanua huo mstar.
Jiulize swali hili?.

Ukiwa Jambazi ,drug dealer na baadae ukasema unataka kwenda kanisan.
Je kuna katazo?.

Kumbuka hata kisheria Kuwa Shoga sio kosa.
Ila kufanya vitendo vya kishoga ndio Kosa.

Sasa mstar wa utofauti ndio uko hapo.

LGBTQ akienda kanisani. Je Kanisa litakuwa linakubaliana na hayo anayofanya?.

Hapana. Kanisa liko kinyume na yote wanayofanya LGBTQ. Ila wale ni watu na wakisema ni wakristo na wanataka kuja kanisani. Utawakataza?
(Refer na Agrey. )

Mm hawa LGBTQ siku zote nawaangalia kwa pande 2.
1. Hormones inbalance -waliozaliwa wakajikuta wako hivyo (hawa weng wanajificha hata kwenda kanisan /misikitini na kwenye jumuiya wanajitenga pia)

2. Na ushoga wa kujitakia/uamuzi (wote ambao wanafanya vitendo hivi kwa makusud - ila wanajificha wasitambulike)
(Kumbuka kusagan,au kulawiti vijana wadogo/wanafunzi -yote ni ushoga ) na Kanisani na misikitini wamejaa watu wa namna hii.

Kanisa halitambui ndoa ya jinsia moja au waliobadili jinsia.
Ila watu wa namna hii wako kwenye jamii na anaweza akasema yeye ni mkristo.

Siko upande wa kusuport LGBTQ.
Ila naelewa kuna watu wamezaliwa na hiyo hali.
 
alikula na kunywa na wadhambi wenye nia ya kuziacha watakaswe

Hao wa vatican hawapo tayari kuziacha, kwanza hata papa aliwapa moyo wanachofanya sio dhambi

Taratibu ila kwa uhakika kanisa katoliki litafanya watoto wenu waanze kuona ni jamba la heshima kuingiliana kinyume na maumbile kwasababu hata maaskofu watakuwa upinde
Ndicho kinachofuatia, taratibu wataanza kuandaliwa watoto wao kwenye masomo ya sunday school...
Kanisa katoliki kwa ufupi wamekubali usenge..
 
Ndicho kinachofuatia, taratibu wataana kunadaliwa watoto wao kwenye masomo ya sunday school...
Kanisa katoliki kwa ufupi wamekubali usenge..
Hii agenda sio kabisa hii sijaielewa hata kidogo yaan Shetani ana nguvu sana Papa aliekufa alijitahidi kidogo ila huyu km Obama mashoga rukhsa kua Makadinali na Makatekista
 
Hao wa vatican hawapo tayari kuziacha, kwanza hata papa aliwapa moyo wanachofanya sio dhambi

Wamekuambia hawako tayar kuziacha?.

Papa hajasuport LGBTQ.
Kanisa katoliki lina utaratibu waa kubariki wafuasi wake.
Bila kubagua jinsia rang kimo urefu au ulemavu wa aina yoyote.
Waameruhusu mtu akiwa LGBTQ abarikiwe na Mapadre.(wabariki kama mtu/watu mwenye uhitaj wa kubarikiwa)
Ila sio kuruhusu vitendo vya ushoga.
 
Back
Top Bottom