The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Bila kuchoshana,
Juzi hapo Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alitangaza ufadhili wa fani za kibingwa kwa watalamu wa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa. Katika ufadhili huo unaoitwa Samia Health Specialisation, hospitali zote za kanda zimepata ufadhili wa kuwa bobezi kwenye baadhi ya fani.
Cha kusikitisha na kushangaza Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ya Mbeya haipo kwenye huo mpango. Kana kwamba haitoshi, Hospitali ya Kanda ya Kusini Mtwara nayo haijawekewa specialisation yeyote.
Swali, hivi kwa nini Serikali ya CCM imekuwa na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini mwa nchi kiujumla, hususani Mbeya?
Toka zama za Mkapa kumekuwa na hii tabia, kuna Miradi mingi tuu ilikwepeshwa na kupelekwa maeneo mengineyo. Kwa mfano airport pekee ya Kanda ya Songwe haujakamikika toka alivyoanzaga kujenga Mkapa.
Pia inashangaza kwamba hata viongozi wengi wanaotokea Kusini huwa hawafanyi cha maana, angalia Hayati Mkapa, PM, Pinda na sasa PM Majaliwa, kwani nyie viongozi hamuoni wenzenu wanachofanya?
Kwamba Kusini kwa ujumla hakuna watu na hakitakiwi kuwa na huduma bora kama kanda zingine? Hii mambo inakera sana.👇
Juzi hapo Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alitangaza ufadhili wa fani za kibingwa kwa watalamu wa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa. Katika ufadhili huo unaoitwa Samia Health Specialisation, hospitali zote za kanda zimepata ufadhili wa kuwa bobezi kwenye baadhi ya fani.
Cha kusikitisha na kushangaza Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ya Mbeya haipo kwenye huo mpango. Kana kwamba haitoshi, Hospitali ya Kanda ya Kusini Mtwara nayo haijawekewa specialisation yeyote.
Swali, hivi kwa nini Serikali ya CCM imekuwa na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini mwa nchi kiujumla, hususani Mbeya?
Toka zama za Mkapa kumekuwa na hii tabia, kuna Miradi mingi tuu ilikwepeshwa na kupelekwa maeneo mengineyo. Kwa mfano airport pekee ya Kanda ya Songwe haujakamikika toka alivyoanzaga kujenga Mkapa.
Pia inashangaza kwamba hata viongozi wengi wanaotokea Kusini huwa hawafanyi cha maana, angalia Hayati Mkapa, PM, Pinda na sasa PM Majaliwa, kwani nyie viongozi hamuoni wenzenu wanachofanya?
Kwamba Kusini kwa ujumla hakuna watu na hakitakiwi kuwa na huduma bora kama kanda zingine? Hii mambo inakera sana.👇