Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,505
- 5,096
Nimekuwa mfuatiliaji wa muziki wa REGGAE kwa muda mrefu sana. Nikiri wazi kuwa muziki wa Reggae ni mziki bora zaidi duniani kwa mtazamo wangu.
Hata uandaaji wake nahisi ndio mziki pekee hutumia ubunifu mkubwa sana kwenye kuandaa.
NB: NAWEZA SEMA KWA MTAZAMO WANGU_UKIWEKA NA WA KWAKO SI MBAYA
Hata uandaaji wake nahisi ndio mziki pekee hutumia ubunifu mkubwa sana kwenye kuandaa.
NB: NAWEZA SEMA KWA MTAZAMO WANGU_UKIWEKA NA WA KWAKO SI MBAYA