Unajua South Africa Ina Watu wangapi?
Mkuu sampling ya mtu mmoja? What if ni mdogo wake Botha.... kaburu....akili fupi! maoni ya sample ndogo yanaweza yakatoa tathimini juu ya mtazamowaliona wengi kuhusu jambo Fulani. umewahi kujiuliza kwa nini tafiti zinazofanywa huwa hawamhoji kila mtu lakini mwisho Wa Siku wanakuja na hitimisho in term of % au namba? ya idadi yote ya watu
Hivi wewe upeo wa kufikiri unaishia kwenye miguu yako au ?unaandika kama mtoto anayejifunza kuongeaHana timamu huyo. Angalia resources zlzopo Tz ambazo wao ndo wamekuja kuzifanyia uwekezaji. Ana ufunyu wa uelewa mbona Obama alikuja jiulze Tz na USA nan yupo juu? Mbafu zako tahla huyo
Kwako wewe haya ndio maoni ya raia wa RSA? mbona naona kama opinion ya kichaa mmoja tu ndani ya mamiiioni ya raia wa South Africa?Kama wanafika hatua ya kutudharau hivi basi hata ziara ya huyu Raid wao haikuwa na maaana tena kwetuView attachment 508585