King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,644
Nitawajuza
Update:
Jamaa(Majambazi) walikuwa wa4 walitaka kupora fedha kwenye begi ambazo ni zaidi ya mil50 lkn wameshindwa kuzichukua lakini wamempiga risasi ya mguu dereva wa daradara,jambazi m1 amekamatwa(age yake haizidi 25) wameacha pikipiki moja(boxer) kina ras makunja na farasi mweupe washafika ndio wanachukua maelezo!
Askari wakiingia kwenye tukio
Update:
Jamaa(Majambazi) walikuwa wa4 walitaka kupora fedha kwenye begi ambazo ni zaidi ya mil50 lkn wameshindwa kuzichukua lakini wamempiga risasi ya mguu dereva wa daradara,jambazi m1 amekamatwa(age yake haizidi 25) wameacha pikipiki moja(boxer) kina ras makunja na farasi mweupe washafika ndio wanachukua maelezo!
Askari wakiingia kwenye tukio