sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,302
Hivyo huwa vinafanya kazi wakiwa ni CHADEMA au wananchi wasio na silaha
Dah ni kweli mkuu, Jeshi letu la POLISI linatumika kisiasa japo wenyewe wanabisha lakini ukweli upo wazi.
Hivyo huwa vinafanya kazi wakiwa ni CHADEMA au wananchi wasio na silaha
We nguruwe ****** wenzanko wamepata matatitizo wewe unaleta siasa uchwara kama ufukara ni wako na uzembe wako acha chuki binfsi.
Kidogo kidogo watanzania wameanza kuzifuatilia mali zao zilizokwapuliwa, huo ni mwanzo tu!!!!
Hivyo huwa vinafanya kazi wakiwa ni CHADEMA au wananchi wasio na silaha
Doh! Mungu amjalie asiwe amedhurika kiasi cha kuhatarisha maisha yake, vp polisi hawajaja na vitu vyenye ncha kali kupambana na hao majambazi?
Mtaji wa Maskini
Siku wakija nyumbani kwako wakamfurumusha mkeo uchi usije kulia lia hapa maana nitakupa jibu ambalo ni sawa na uliloliandika hapa
Hakuna update? Au washakurestisha in peace!!
Dereva mmoja wamemdhuru kwa risasi ya mguu kashawaishwa hospital.
Kwa Tanzania akikamatwa jambazi ni mtaji mzuri kwa polisi...