Kwa Manji (Quality Plaza) kuna majambazi wanaungurumisha risasi

Dereva kahusikaje?

Si unajua tena Saint mchezo wote ulikuwa unafanyika kwa road na si unajua ile kitu haina macho,kuna jamaa aliyekuwa kwenye ile gari yenye hela ndio alijitoa sadaka kabisa majambazi walikuwa washanyang'anya begi la hela ikabidi jamaa akaling'ang'ania jamaa wakapiga njugu hewani lkn jamaa kakomaa ikabidi waanze mbele
 
Hilo Jambazi meno yake yameoza..linaonekana Kama ni lenyeji la ule mkoa wa nanihii.
Mpaka jioni hii na uhakika wameshavunja miguu yote na korodani zake zimebaki Kama sambusa za nyama.
Pale kituo cha Stakishari majambazi huwa yanaimba kwaya na kusaga meno. Atakuwa keshawataja wenzake.
 
Katika tukio la ujambazi Polisi wanakuwa wa mwisho kufika, Yaani wanasubiri Jamaa waondoke ndipo wanakuja Polisi.

Lakini kwenye tukio la maandamano au mikutano isiyo na kibali, Polisi wanafika kabla ya waandamanaji.

Wakiwa wameheheni zana za kivita kama wanaenda vitani.
Lakini kwenye ujambazi THUBUTUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Mkuu MIZAMBWA,Kuna kitu kinaitwa usalama!Nahii imegawanyika sehemu mbili,kwanza nikwawewe unaenda kutoa msaada napili niusalama wa-anaenda kusaidiwa.Hapa muhimu huwa niusalama wayule anaenda kutoa msaada kwanza alafu akijihakikishia hilo ndio anaangalia usalama wa-anaenda kusaidiwa.Ndio maana huwa wanachelewa nawakati mwingine wanakuja naving'ora ili kuwaondoa wahalifu!Hii niyakimataifa sio Tz peke yake,Hapo utaona tofauti yakumuhendo mtu kwenye maandamano natukio laujambazi.Kama kunawakuongeza anisaidie wakuu
 
Si unajua tena Saint mchezo wote ulikuwa unafanyika kwa road na si unajua ile kitu haina macho,kuna jamaa aliyekuwa kwenye ile gari yenye hela ndio alijitoa sadaka kabisa majambazi walikuwa washanyang'anya begi la hela ikabidi jamaa akaling'ang'ania jamaa wakapiga njugu hewani lkn jamaa kakomaa ikabidi waanze mbele

Mkuu MIZAMBWA,Kuna kitu kinaitwa usalama!Nahii imegawanyika sehemu mbili,kwanza nikwawewe unaenda kutoa msaada napili niusalama wa-anaenda kusaidiwa.Hapa muhimu huwa niusalama wayule anaenda kutoa msaada kwanza alafu akijihakikishia hilo ndio anaangalia usalama wa-anaenda kusaidiwa.Ndio maana huwa wanachelewa nawakati mwingine wanakuja naving'ora ili kuwaondoa wahalifu!Hii niyakimataifa sio Tz peke yake,Hapo utaona tofauti yakumuhendo mtu kwenye maandamano natukio laujambazi.Kama kunawakuongeza anisaidie wakuu

Yaani kwa picha ninayoiapata ni kwamba huy Jambazi ahkukamatwa na Polisi, ni wananchi wasiokuwa na silaha yoyote ndio walioshirikiana hadi kufanikisha kumdhibiti.

Polisi wanakuja wakiwa wamejiandaa na silaha nzito sana, na wamepitia mafunzo kwa kazi hii ya kulinda usalama na kupambana na wahalifu.

Sasa huo usalama wa pande mbili mimi binafsi sijauona na kama wana kuja na silaha kisha wanafika mwishoni jamaaa wakishaondoka. Hakuan umuhimu wa wao kuja eneo la tukio.

Au labda kama wanakuja kuokota pesa zilizodondoshwa na majambazi hapo sawa!!!!!!

Nakumbuka kulikuwa na wimbo wa taarabu enzi hizo uliitwa "CHURA" mwimbaji alikuwa anashangaa chura kukaa kisimani kama mlinzi kumbe mtu akija chura anaruka pembeni na kumuachia mtu kuteka maji.

Hapa ni sawa na hao Polisi wanaofika mwishoni eneo la tukio.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Back
Top Bottom