Mimi ndo maana kuna wakati sitazami kabisa mpira hata ziwe big namesTena ukiongeza na VAR ndio kabisa Hatuwez kuona ubora wachezaji .. Yaani wanataka wachezaji wachezaji wacheze Kama Maroboti wasizidi hata ukucha .. This is so disgusting.
Mimi ndo maana kuna wakati sitazami kabisa mpira hata ziwe big namesTena ukiongeza na VAR ndio kabisa Hatuwez kuona ubora wachezaji .. Yaani wanataka wachezaji wachezaji wacheze Kama Maroboti wasizidi hata ukucha .. This is so disgusting.
Huku tupo pamoja. Mpira wa sasa haushtui. Michezaji haina kabisa talanta.Pele yupo sahihi, kwa sasa wala hata sikatishi usingizi kusubiri mechi, huwa nasubiri tu matokeo kwenye vyombo vya habari. Ukisikia mechi ya UEFA labda Real Madrid na Bayern, hata haushituki unaweza lala kabisa kwa amani. au Simba na Yanga, kawaida mno.
Mpira wa sasa hauvutii kabisa, ni upotevu wa muda na kuunguza calories kukesha kuangalia maigizo
Sio mpira tu fananisha kina MOHAMMAD ALLY, MIKE TYSON, SUGAR RAY, BRUNO na hawa wa sasa kina Maywether, Khan,KilitshkoWakati akizungunza na Gazzeta dello Sport na nchini Italia, Pele aliongea mambo kadhaa, (Kimsingi alikua anamzungumzia ubora wa Messi)
Jambo lilinivutia ni hili naunukuu "but feels there are not as many truly world-class talents around now as there have been in notable eras of the past'', akimaanisha kwa sasa hakuna wanasoka wenye vipaji kama wakati uliopita.
“Once you found two or three in every country with a great football culture'', kwamba kipindi ambacho ungeweza kupata wachezaji wakali angalau wawili au watatu katika kila nchi. Akiendelea na kuwataja baadhi, akisema "There were so many. Today we have two or three in total". Messi, Ronaldo na labda Neymar (nadhani alimtaja kwa sababu ya Ubrazil).
Nadhani wote tutakubaliana kuwa kwa sasa vipaji halisi vya soka vinapungua sana,
Future ya mpira wa miguu itakuwaje, football without talent?
Kama mdau wa juu alivyosema Hela na biashara kwenye michezo zinaharibu kwa kiwango kikubwa sana vipaji.Sio mpira tu fananisha kina MOHAMMAD ALLY, MIKE TYSON, SUGAR RAY, BRUNO na hawa wa sasa kina Maywether, Khan,Kilitshko
Pia fananisha kina Michael Jordan, Scott Pipen, Thompson Snr, Shacq na hawa kina Harden, Criss Paul, Green n.k
Dunia imeshafikia kipindi ambacho individual skills ni secondary aspect, watu wanafuata mifumo/styles itakayowawezesha kushinda
mkuu katika watu wooote hao waliochangia wewe tu ndio hujaelewa na bado hujui litakuwa tatizo la nani.