Acha uzushi wewe! Desturi za watanzania unazoongelea ndo zipi? Kwani mababu/mabibi zetu wa kale walikuwa wanavaaje? Mboona mavazi yao yalikuwa ni ya kufunika sehemu za siri tu? Acha kuwa na mawazo ya ajabu ajabu. Mbona ma bushmen hawavai nguo na hawana tatizo?