Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
hivi kama mtu hana sadaka ndo asije kabisa kanisani..semeni tu kuliko kudhalilisha wanyonge huko ibadani.
naona tukiingia ibadani mmekazia michango hadi tusio nacho tunaona aibu..
ukiingia na mia tano yako unakuta sadaka za aina tano sijui..mwenye mia yake afanyeje?
kanisa nnalosali walah tena mchungaji alikua anakera ila hajui tu..anashika mic anatangaza mchango halafu anamfuata mmoja mmoja alipokaa na kumwekea mic aseme aahidi..au kama ana hela atoe yoyote..halafu anaitangaza na jina la mtu
kibaya zaidi ni hii tabia ya kutangaza sadaka ya mtu
maandiko yanasema sadaka ni siri ya mru na MUNGU wake..yani vile anapoishika mkononi ..mkono mwingine usijue..sembuse bindamu mwenzie.???
na sasa mna maombi kwa kiwango cha sadaka..eri wafanyabiashara sadaka maalum elfu sitini..uiweke kwenye bahasha maalum ukienda kutoa ndo eti unaombewa baraka na mafanikio...si kila mfanyabiashra anamudu..kwahiyo wao wasiomudu.hawastahili baraka na kufanikiwa kutoka kwa Mungu?
mimi mara ya mwisho kwenda kanisa la kilokole ni pale mtongani..toa sadaka uwekewe mkono...wasio na sadaka za kuweka kwenye bahasha wanaona bora wabaki tu..wanaovoangaliwa sasa ni aibu!!
nkarudi nkawa nasali kwenye dhehebu langu...siku ya pentcoste akaja muhubiri wa siku zote kanisani..baada ya sala na maombi mazito nashangaa watu wanatoa bahasha za khaki wanaingiza hela..noti!!..
mi nlikuja na buku yangu..sadaka nshatoa..naambiwa hii sadaka ya mafuta ya baraka sijui upako..yale ya mzeituni
tatizo sikuwepo jumapili ilopita..na wasiokuwepo pia jpili lopita wakapewa bahasha..tia hela humo...wakaanza kupanga foleni ya kupakwa mafuta..lakini kwa utaratibu kwamba wewe usiyeenda unaonekana ukiwa umekaa umebaki benchi walipotoka...mi nlijiskia vibaya sana..kilichoniuma zaidi kuna mabint wawili karibu yangu..nkawauliza mbona hamuendi..wakasema tunajua lakini hatuna hela
mavazi yao yalionesha kabisa wapo duni.
nlitarajia wahudumu wa kanisa wanaosimamia wawaambie nendeni hivohivo hata kama hamna hela..walaa!wanawapita tu!
mi wananiuliza huna sadaka!?.nkawaambia sina nlikuja na sadaka kuu tu..nshatoa.wanajibu haya!
kule mbele sasa..tumbukiza bahasha..pakwa mafuta kwenye paji! tumbukiza bahasha ya sadaka nkupake mafuta utsinii..
najua mnatoa bahasha coz taget zenu ni noti noti tu..maskini na mia yake aiweke kwenye bahasha?
jiskieni aibu!
naona tukiingia ibadani mmekazia michango hadi tusio nacho tunaona aibu..
ukiingia na mia tano yako unakuta sadaka za aina tano sijui..mwenye mia yake afanyeje?
kanisa nnalosali walah tena mchungaji alikua anakera ila hajui tu..anashika mic anatangaza mchango halafu anamfuata mmoja mmoja alipokaa na kumwekea mic aseme aahidi..au kama ana hela atoe yoyote..halafu anaitangaza na jina la mtu
kibaya zaidi ni hii tabia ya kutangaza sadaka ya mtu
maandiko yanasema sadaka ni siri ya mru na MUNGU wake..yani vile anapoishika mkononi ..mkono mwingine usijue..sembuse bindamu mwenzie.???
na sasa mna maombi kwa kiwango cha sadaka..eri wafanyabiashara sadaka maalum elfu sitini..uiweke kwenye bahasha maalum ukienda kutoa ndo eti unaombewa baraka na mafanikio...si kila mfanyabiashra anamudu..kwahiyo wao wasiomudu.hawastahili baraka na kufanikiwa kutoka kwa Mungu?
mimi mara ya mwisho kwenda kanisa la kilokole ni pale mtongani..toa sadaka uwekewe mkono...wasio na sadaka za kuweka kwenye bahasha wanaona bora wabaki tu..wanaovoangaliwa sasa ni aibu!!
nkarudi nkawa nasali kwenye dhehebu langu...siku ya pentcoste akaja muhubiri wa siku zote kanisani..baada ya sala na maombi mazito nashangaa watu wanatoa bahasha za khaki wanaingiza hela..noti!!..
mi nlikuja na buku yangu..sadaka nshatoa..naambiwa hii sadaka ya mafuta ya baraka sijui upako..yale ya mzeituni
tatizo sikuwepo jumapili ilopita..na wasiokuwepo pia jpili lopita wakapewa bahasha..tia hela humo...wakaanza kupanga foleni ya kupakwa mafuta..lakini kwa utaratibu kwamba wewe usiyeenda unaonekana ukiwa umekaa umebaki benchi walipotoka...mi nlijiskia vibaya sana..kilichoniuma zaidi kuna mabint wawili karibu yangu..nkawauliza mbona hamuendi..wakasema tunajua lakini hatuna hela
mavazi yao yalionesha kabisa wapo duni.
nlitarajia wahudumu wa kanisa wanaosimamia wawaambie nendeni hivohivo hata kama hamna hela..walaa!wanawapita tu!
mi wananiuliza huna sadaka!?.nkawaambia sina nlikuja na sadaka kuu tu..nshatoa.wanajibu haya!
kule mbele sasa..tumbukiza bahasha..pakwa mafuta kwenye paji! tumbukiza bahasha ya sadaka nkupake mafuta utsinii..
najua mnatoa bahasha coz taget zenu ni noti noti tu..maskini na mia yake aiweke kwenye bahasha?
jiskieni aibu!