sawa mkuu karibu sanaMpo vizuri sana. Ngoja nichukue namba hii
Sawa mkuu nimekuelewa vizr naufanyia kz ushauri wakoKazi mzuri.
Umetaja bei mbili, Tsh 25,000/= na 40,000/= kutegemeana na aina ya material ulizotumia.
Naomba katika picha ulizotuma ungeziweka katika hayo makundi, i.e. 25,000/= & 40,000/=.
Ni mzuri, tutakupa kazi.
Kila la heri.
Mkuu Printing nafanya piece 100 kwa 50,000/= vya size ya A5mkuu kutengeneza vipeperushi vya business ni bei gani?
A5 mbona kubwa sana...mimi nataka ndogo A2 isizidi zaidi ya hapoMkuu Printing nafanya piece 100 kwa 50,000/= vya size ya A5
mkuu unajua kweli vipimo vya makaratasi??? unapozungumzia A2 umezungumzia karatasi kubwa snaa ambapo ndani yake unapata A4 na A3 2 kama A5 unapata 8 katika karatasi namba kubwa ndo size ndogo kwahyo ukisikia A5 ni ndogo sanaa au A6 ni ndogo kabsaa au ukisikia A1 inamaan bonge la jamvi unauweza hata ukalala.A5 mbona kubwa sana...mimi nataka ndogo A2 isizidi zaidi ya hapo
Yap tunaweza kufanya hiyo kazi karibu sanaaNahitaji kutengenezew website ya kanisa, mnaweza?
Asante mkuuKazi nzuri
Karibu sanaaNaja mkuu