Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 3,734
- 6,791
Kwà kuwa wengine kujenga ni kujikongoja basi IPO Siku tutatamani kazi kama yako hiyo mkuu kikubwa mawasilianoThanks mkuu
Kwà kuwa wengine kujenga ni kujikongoja basi IPO Siku tutatamani kazi kama yako hiyo mkuu kikubwa mawasilianoThanks mkuu
Hizo tiles ni granite au za kawaida?18000/= mkuu
Tanga stime bei yake ikoje kwa sqm mojaFull 5,000/= per sqm mkuu!!!
25*40 wall za kawaidaHizo tiles ni granite au za kawaida?
Mkuu labda ungenishauri nitumie njia gan kukuaminisha na kuwaaminisha wengine pia wenye doubt kama we??✍️🙏Napataje uhakika kama kazi ni ya kwako hii fundi?.Mafundi wengi wana tabia ya kutumia picha za uongo ili kuvutia wateja lkn ukimpa kazi anafanya kama fundi Michael.
Karibu sana mkuuHapo bado macho yameachwa ununio kwa kazi nzuri hii View attachment 2268199
Hii bei huwa mnazingatia nini? Naona kama mnatupigaFull 5,000/= per sqm mkuu!!!
Uko nondo mkuuHabari wakuu?
Kwa mahitaji ya kujengewa tiles, Tarazo, Mable, Mosaic, Palving blocks au tangastone karibu ujenge nasi kwa gharama nafuu lakini kwa ubunifu, uaminifu wa mali zako na kwa mitindo mbali mbali ya kisasa kabisa.
Kwa mawasiliano waweza tufikia kwa simu no 0782369491 au what's App 0654121218 kwa picha na ufafanuzi zaidi wa kazi zetu.
AU
tutumie barua pepe: yusuphmlawa91@gmail.com.
PIA
Unaweza tembelea ukurasa wetu fb wa tilesengineering plus kwa info zaidi.
TUNAPATIKANA DAR ILA POPOTE TUNAKUFIKIA. PICHA👇
View attachment 2328436View attachment 2328439View attachment 2328440View attachment 2328445View attachment 2328446View attachment 2328450View attachment 2328454View attachment 2328458View attachment 2328461