GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,505
Popoma.katika ubora wako 👍👍Tena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.
utahama mpaka duniaUSM ALGER DAMU
Simba kashafika fainal hilo kombe
BA NTWA BA ALGER
Bahlabane ba ntwa, sikuandami ila huwa unanchekesha sn mkuuMkuuu umeniandama sana
Kila mwanaume unamtaka inaonekana unapenda sanaUSM ALGER DAMU
Simba kashafika fainal hilo kombe
BA NTWA BA ALGER
Yanga Oyeee... Simba mwakani mjipange mnaweza fanya bora zaidi pia hata kufika mbali zaidi.. msife moyo wala msiwe wachawi wa rohoTena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.
Kweli unapaswa kupongezwa.Tena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.
PongoIdiot.
Mkuu Marumo Gallants wanakupa hiUSM ALGER DAMU
Simba kashafika fainal hilo kombe
BA NTWA BA ALGER
Simba alifika fainali third tier championship , Chifu mashood abiola aliamua Kugawa ela zake atangaze jina lakini bingwa wa Hilo kombe hakutambulika rasmi na caf Bali caf walimkubalia ili waingize Mpunga ( money ) . Bingwa aliyetambulika ni wa kombe la washindi ( second tier championship) ambalo yanga anashiriki na kombe la klabu Bingwa ( first tier championship)USM ALGER DAMU
Simba kashafika fainal hilo kombe
BA NTWA BA ALGER
Asante sana kwa maoni yakoTena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.
Mm cjaona mafanikio yeyote ni makelele tu mtaani mpira gani riadha tu za akina Moloko,Kisinda MayeleTena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.
Tena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.