Kwa maelezo haya dada zetu wenye ndoto za kuolewa wakati hamjitunzi msahau kupata waoaji

Madihani

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
6,134
7,065
_*World's*_*poulation*_ _*statistics*_
TOTAL poulation:7.8 billion people

WOMEN:5.6 billion

MEN:2.2

then

1 billion MEN are married

485,561 MEN are in jail,sober house and mental retard centerz

425549 MEN are padre and GAYz

9 MILLION are jobless and with no hope of jobs

900 MILLION MEN have NO plans of marriage whole of their life


_the_ _remaining_ _92_ _millions_ _of_ _MEN_

8.6% are aged 66 years old and above

0.12% are blood relatives


9.88% will marry abroad


then the remained 4 percent will marry U all 5.6 women
 
Hii inarudiwa...halaf hizo data zinahusisha mpk watt acheni kuwakatisha tamaa wapenzi wetu
 
Ahaaaaa mapadre na walipo kifungoni loh nimecheka sana. Ila si watarudi? Tutawasubiri
 
Hyo population analysis ni ya uongo. Labda uinarrow to a specific country ila sio dunia at large. Mm nimeshaiangalia. Kidunia tofauti kati ya Me na Ke ni ndogo sana si hvyo mnavyoripoti
 
Utafiti duni wenye lengo la kudhalilisha wanawake huu. Kwa hiyo hakuna wanawake watoto, wazee, walioko jela, wenye matatizo ya akili, kwenye hitimisho umemaliza kwa kurudia namba ile ile ya wanawake 5.6B wakati kwa wanaume umeichanganua kadri ya makundi tofautitofauti.

Nani kakwambia hao 5.6B wote wanataka kuolewa? Kwa mtizamo huu inamaana kuoa ni ksaidia mwanamke? Acheni kufanya masihara kwenye mambo ya msingi.
 
kwenye hawa wanawake 5.6 billion, hamna masista wa parokiani, lesbians etc....lol
 
Utafiti duni wenye lengo la kudhalilisha wanawake huu. Kwa hiyo hakuna wanawake watoto, wazee, walioko jela, wenye matatizo ya akili, kwenye hitimisho umemaliza kwa kurudia namba ile ile ya wanawake 5.6B wakati kwa wanaume umeichanganua kadri ya makundi tofautitofauti.

Nani kakwambia hao 5.6B wote wanataka kuolewa? Kwa mtizamo huu inamaana kuoa ni ksaidia mwanamke? Acheni kufanya masihara kwenye mambo ya msingi.
Kumbe idadi ya wanaume kua ndogo ni azalilishaji
.....
 
Back
Top Bottom