Kwa kushindwa kuipatia wadhamini Ligi kuu ya soka , kwanini Rais wa TFF na kamati yake ya utendaji wasijiuzulu?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,237
Hivi kinachomchelewesha kujiuzulu huyu jamaa ni kitu gani , analindwa na nani na kwanini ? lengo la kiongozi yeyote ni kuendeleza soka kwa kuhakikisha vilabu vinawezeshwa kiuchumi ili viweze kumudu gharama za uendeshaji , jambo ambalo viongozi wa sasa wameshindwa vibaya mno .

Hatuwezi kuendesha ligi ya nchi kwa kudra za Mwenyezi Mungu , iko siku timu zitashindwa kufika uwanjani kutokana na kukosa nauli , ama zikaingia uwanjani huku wachezaji wana njaa ya wiki .

Haiwezekani kuwa na viongozi walioshindwa .
 
Inasemekana wale wanaorusha live matches kwenye Television ndo kikwazo cha sponsor mpya, sasa sijui TFF waliingia nao contract ya aina gani..
 
si atakwambia kuwa hata Ligi ya Uingereza EPL
nayo haina mdhamini ipo kama sisi TPL
But ligi inaendelea bila mdhamini
Barclays amekaa pembeni Kama nasi Vodacom alivyokaa pembeni!
 
Inasemekana wale wanaorusha live matches kwenye Television ndo kikwazo cha sponsor mpya, sasa sijui TFF waliingia nao contract ya aina gani..
Ndio kawaida ya wafanyabiashara...hata VODA waliwagomea AFRICAN LYON kuvaa Zantel.... Mo kamkazia Kiba Mofaya akidai ni brand yk.... kifupi watajuana wenyewe
 
Mabwege bwana!!! Kamalizen kwanza swala la uchaguzi kwenye timu yenu ndo mje na mistari yenu ya jangwani hapa.
 
Back
Top Bottom