Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,770
- 24,202
Habari wana jf sports
Acha tuseme ukweli penye ukweli
Bado kuna kitu hakipo sawa, kwenye timu ya simba hata timu kuanzisha mashambulizi kwenda mbele ni tabu wanacheza sana back pass muda mwingi,mipira ikifika kati bado wachezaji wanakaa sana na mipira,
Chama anacheza sana mpira wa taratibu (slow motion) kiasi kwamba anafanya timu kupoa .......huu ni aina ya mpira wa kienyeji uliopitwa na wakati.....kimataifa tunahitaji timu zenye mpira wa kasi .....( Zoran ajifunze kwa prof..nabi)
Banda anajitahidi sana kupiga pasi mpenyezo.
wanakosa sana magoli ya wazi,mechi ya simba wangecheza mpira wa kasi na Kagera walikua washinde hata goli tano.
Mzungu bado tumepigwa
Mzungu ukimtazama sana utamuona ana mpira wa Cr 7........ ukimzoom tena utamuona ni lewandowsk mtupu .....ila matendo yake yanakuja ku mreveal kuwa huyu ni yikpe mtupu
Mzungu mechi ya kagera kafunga bila kipa kuwepo golini....ila wanasimba tulivyoshangilia sasa (inasikitisha)
NB: simba boresheni hayo niliyowaambia mtafanya vzr kimataifa ....mzungu ni mandonga mweupe.....
Je wewe umeona madhaifu yapi ya simba.( wanalunyasi )???????
By mchambuzi from tukuyu
Nipo tayari kuhesabiwa
View attachment 2332046
Acha tuseme ukweli penye ukweli
Bado kuna kitu hakipo sawa, kwenye timu ya simba hata timu kuanzisha mashambulizi kwenda mbele ni tabu wanacheza sana back pass muda mwingi,mipira ikifika kati bado wachezaji wanakaa sana na mipira,
Chama anacheza sana mpira wa taratibu (slow motion) kiasi kwamba anafanya timu kupoa .......huu ni aina ya mpira wa kienyeji uliopitwa na wakati.....kimataifa tunahitaji timu zenye mpira wa kasi .....( Zoran ajifunze kwa prof..nabi)
Banda anajitahidi sana kupiga pasi mpenyezo.
wanakosa sana magoli ya wazi,mechi ya simba wangecheza mpira wa kasi na Kagera walikua washinde hata goli tano.
Mzungu bado tumepigwa
Mzungu ukimtazama sana utamuona ana mpira wa Cr 7........ ukimzoom tena utamuona ni lewandowsk mtupu .....ila matendo yake yanakuja ku mreveal kuwa huyu ni yikpe mtupu
Mzungu mechi ya kagera kafunga bila kipa kuwepo golini....ila wanasimba tulivyoshangilia sasa (inasikitisha)
NB: simba boresheni hayo niliyowaambia mtafanya vzr kimataifa ....mzungu ni mandonga mweupe.....
Je wewe umeona madhaifu yapi ya simba.( wanalunyasi )???????
By mchambuzi from tukuyu
Nipo tayari kuhesabiwa
View attachment 2332046