mmmm... huyo aliyesema 'cooking tea' nadhani kama aliingiaingia darasani mwalimu wake alikuwa hajala siku hyo alikuwa na mgogoro na mke wake, mume wake, rafiki yake wa kike ama ragiki yake wa kiume au pengine hamnazo kabisaaaaaa.....
mmmm... huyo aliyesema 'cooking tea' nadhani kama aliingiaingia darasani mwalimu wake alikuwa hajala siku hyo alikuwa na mgogoro na mke wake, mume wake, rafiki yake wa kike ama ragiki yake wa kiume au pengine hamnazo kabisaaaaaa.....