Yuko Wapi Nabii Tito Na Vituko Vyake Vya Ulevi Katika Dini? Ana Tofauti Gani Na Pierre, mbona wote wanashadidia ulabu hadharani? kwa nini nabii tito hakutusua kama pierre?
Baba au mama ambae ni mlevi..je anaporudi akiwa amelewa anaonyesha tabia hadharani au kwa kificho ? Mwacheni Pierre afurahie maishaBwashee TBL ipo kwa ajili gani?