Mangumi anayopigwa Lowassa si mchezo. Huku CCM na huku ACT(CCM B) Hawa mapigo yao kwa Lowassa no copy & paste. Kwenye TV napo usiseme. Kila habari nI CCM tu. Kwenye Radio ndo kamalizwa kabisa. Radio uhuru ndio editor wa radio zote. Hapa Dar picha zake labda abandike chini kwenye lami kila sehemu Magufuli.
Mwanzo alijifanya anaweza kushindana sasa yameota mbawa
Saa hz anatembea na Lisu.Lisu naye ametengenezesha mabango pale mtaa wa Swahili Karıakoo kwa ajili ya kuyapeleka Singinda na kuyatelekeza.Hv huyo Lisu jimboni au mkoanı kwake hakuna vijana wanaoweza kutengeneza fremu za picha zake mpaka aje Dar??Naye anawalaghai Watanzania eti atawakomboa!
Unazani picha au mabango ndo yanapiga kura??? Hahaha kama unadhani ni ndiyo basi utakuwa umekosea. Mi siendi kwenye mkutano wowote ila kura yangu nlishaipiga tangu mwaka jana.Mangumi anayopigwa Lowassa si mchezo. Huku CCM na huku ACT(CCM B) Hawa mapigo yao kwa Lowassa no copy & paste. Kwenye TV napo usiseme. Kila habari nI CCM tu. Kwenye Radio ndo kamalizwa kabisa. Radio uhuru ndio editor wa radio zote. Hapa Dar picha zake labda abandike chini kwenye lami kila sehemu Magufuli.
Mangumi anayopigwa Lowassa si mchezo. Huku CCM na huku ACT(CCM B) Hawa mapigo yao kwa Lowassa no copy & paste. Kwenye TV napo usiseme. Kila habari nI CCM tu. Kwenye Radio ndo kamalizwa kabisa. Radio uhuru ndio editor wa radio zote. Hapa Dar picha zake labda abandike chini kwenye lami kila sehemu Magufuli.
Kura hatupigii radio, tv, picha, magazeti...wala CCM, ACT.... KURA TUNAMPIGIA LOWASSA....
Lowassa ndio RAIS wetu, ndio KURA zetu tunampigia...!!!
Waache CCM wazunguke na wasanii, wamtangaze mgombea wao kama KUNA PROMOTION ya BIDHAA... sisi HATUJALI tushaamua ni LOWASSA tu...!!!
CCM tushawajua WANACHEZA NA MAISHA YETU...
Sasa KURA yako ndio MAISHA YAKO...!!!
PIGA kura, kuwachinjia mbali CCM... majizi makubwa haya..!!