Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,907
- 20,227
......
.......wacha waparuane
.......wacha waparuane
Tatizo watu kama hawa hawamaliziwi kwa kununuliwa ama pyu pyu...kuna matumbo ya wanawake yamebarikiwa kwa kuzaa watu wa aina hiyo tu.Mluzidi kuhoji uhalali wa vyeti vya RC, ujenzi wa Chato International Airpot port, ujenzi wa Chato referral hospital.
Wale vidomo domo wote sasa wako CCM kama si wagonjwa kitandani.
Asante na asubuhi njemaTatizo watu kama hawamaliziwi kwa kununuliwa ama pyu pyu...kuna matumbo ya wanawake yamebarikiwa kwa kuzaa watu wa aina hiyo tu.
Wewe ni mjinga sana! CHADEMA ni wanachama siyo viongozi. 2015 kwenye uchaguzimkuu CHADEMA ilipata kura za urais zaidi ya mil 6. Hao ukiwanunua wote labda ndio unaweza kufikiri Chama kitakufa. Vinginevyo endeleeni kuota ndoto za mchana.Naona mpambano umekolea...Ila chadema inabidi wapambane kwa yanayowatokea sasa, lasivyo watajikuta chama kinamalizwa nguvu kama cuf
Hivi chama kinamalizwaje nguvu?Naona mpambano umekolea...Ila chadema inabidi wapambane kwa yanayowatokea sasa, lasivyo watajikuta chama kinamalizwa nguvu kama cuf
Mill 50 ndio hizo zinazomwagwa kununua watu tulikuwa hatujamuelewa tuHela yote isije ikaishia kununua wapinzani na kushindwa kuifikia Tanzania ya viwanda na kugawa 50M kwa kila kijiji na mtaa
Eti nayo hii ni kauli ya kiongozi wa watu milioni 50. Wapeni urais watu waliojiandaa miaka mingi kuitumikia nafasi hiyo.Jamani niacheni nina FRASTRESHENI zangu.
Kabadili gia anganiMill 50 ndio hizo zinazomwagwa kununua watu tulikuwa hatujamuelewa tu
Ukweli upi mkuu wa kufanya siri mbona kigoma kwa zitto mmeumbuliwaBwana Meya aache unafiki hizi ni zama za ukweli na uwazi, aziweke hewani hizo audio ili watu wamjue bwana Manunuzi.
Halafu baada ya hapo wampeleke Takukuru na takukuru wakizingua moja kwa moja mahakamani..
HUMANI TRAFFIC NI BIASHARA INAYOKUA KWA KASI SANA TANZANIA..
Bashite aweke vyetiBwana Meya aache unafiki hizi ni zama za ukweli na uwazi, aziweke hewani hizo audio ili watu wamjue bwana Manunuzi.
Halafu baada ya hapo wampeleke Takukuru na takukuru wakizingua moja kwa moja mahakamani..
HUMANI TRAFFIC NI BIASHARA INAYOKUA KWA KASI SANA TANZANIA..
Umekosa raha kamanda, wewe na yule mshahara kuingizwa hamna raha kabisa mnahangaika sana kama mtu alibanwa na choo then hapana pa kujisaidia.TULIENI MNYIKA YUPO KWENYE MIKONO SALAMA
Mwambieni Babaenu aache kupiga simu Ovyo,Tumemrekodi na tutaendelea kumrekodi tumuaibishee......Any time atume sms au apige tena aone!!!!!!!!!
Mnyika siyo Dizaini ya hao unaowapigia simu na kuwahahidi Vyeo na Madaraka ya kuhongwa.....Tunakuweka loudspeaker tunakusikiliza tuh.....ukikata simu tunacheeeeeeeeeeeekaa.
Etiiii unamwambia Binadamu Mwenzako unamtaka kwa gharama yeyote.......ili nini?
(From Mayor Boniface FB page)
My take;
Sina sababu za kumdhania uongo Mayor anayeheshimika na raia wa Ubungo, lakini najiuliza huyo "babaenu" anayetajwa hapo ni nani? Na jee ndiye kinara wa biashara hii ya manunuzi?
Jee kama yeye ndiye nimdhaniaye ndiye, kumbe kakosa la kufanya mpaka afikie kuwa na matendo kama haya ambayo hayajapata kuandikwa kwa watangulizi wake?
Baba alishanyoosha mikono hana uwezo wa kutoa milioni 50 kila kijijiHela yote isije ikaishia kununua wapinzani na kushindwa kuifikia Tanzania ya viwanda na kugawa 50M kwa kila kijiji na mtaa
Tatizo watasema siyo sauti yake ni mtu kamuigiza.Bwana Meya aache unafiki hizi ni zama za ukweli na uwazi, aziweke hewani hizo audio ili watu wamjue bwana Manunuzi.
Halafu baada ya hapo wampeleke Takukuru na takukuru wakizingua moja kwa moja mahakamani..
HUMANI TRAFFIC NI BIASHARA INAYOKUA KWA KASI SANA TANZANIA..
AiseeNasikia pamoja na "manunuzi" pia kuna kitisho cha kuambiwa "tazama kwa Lissu".
Jee hii ni siasa?
Naona ndo umeamka! Hivi shift ya mchana na usiku malipo ni sawa?(7000/=)Umekosa raha kamanda, wewe na yule mshahara kuingizwa hamna raha kabisa mnahangaika sana kama mtu alibanwa na choo then hapana pa kujisaidia.