Kwa Kauli MKANGANYIKO juu ya KATIBA MPYA, Saed Mwema Aagize Ma-Bomu Zaidi??

Uwezo Tunao

JF-Expert Member
Nov 14, 2010
6,942
1,190
SERIKALI NA KAULI MKANGANYIKO JUU YA 'WANANCHI KUTAKA KUANDIKA KATIBA MPYA' SASA HIVI, NI ASHIRIO SAED MWEMA AGIZA MABOMU YA KUTOSHA MWAKA MPYA TUKAUANZE KABISA UWANJANI MPAKA KIELEWEKE??

Tangu CHADEMA kianzishe upya madai ya KATIBA MPYA na wananchi wengi wakatukonga nyoyo, kwingineko serikali imeshatoa kauli hamsini kidogo hadi hadi kero kwetu hivi sasa.

Kuna kauli kibao ambazo kwa kweli zinasumbua sana kuzipokea. Hii hali inatokana na hali ya mikanganya isioisha. Kila mmoja serikalini akijitokeza kwa vyombo vya habari na hili na yule nalile

Miongoni mwa kauli ambazo bado ziko vichwani mwetu ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili ni kama hivi hapa chini:

1. Makamba kujitokeza kasema; HAKUNA NAFASI YA KUSIKILIZWA MTU HAPA,

2. Chiligati; CHADEMA WASITULETEE UTANI HAPA, LETU NI KUWATIMUA WOTE KULE BUNGENI ili wakashike adabu,

3. Chiligati huenda akaja akakutana na Malaika; ... aaahhh, unajua haya madai ya CHADEMA ni ya msingi na YANAZUNGUMZIKA,

4. Mama Celina Kombani akaja na sura kiutawala zaidi; SUALA LA KATIBA kwetu kama Serikali HAPANA, NI GHARAMA KUBWA, MANENO YA MTAANI, NA WALA SI MUHIMU KWA SASA,

5. Mzee Tyson naye hakuondoka mdomo mkavu alipokutana na vyombo vya habari; Hili la MADAI YA KATIBA MPYA linaongeleka tu kati ya serikali na CHADEMA na wala halina shida.

Si unajua sisi kama serikali tunazo njia zetu nyingi tu za kutatua mambo kama haya. Na zaidi, zipo zile njia zetu nyingine ambazo KWA KAWAIDA HUA HATHITAJI KUZITANGAZA popote,

6. Jaji Mstaafu Mzee Bomani alipofika akanena; Suala hili ni halikwepeki na ninashauri Serikali iteue JOPO LA WATAALAM kuliangalia KATIBA na kubaini MAHITAJI yaliomo;

7. Mzee Ruksa alipofwatwa mapumzikoni kwake na waandishi wetu wa habari kwa matarajio ya BUSARA KATIKA HILI JAMBO ZITO KITAIFA nay alisema; Kwa nini Wa-Tanzania muhitaji KATIBA MPYA SASA HIVI, KUNA NINI???

8. Mwana-JF 'Dar es Salaam' inayosadikiwa kuwa ni sauti ya KIFICHONI cha aka JK naye hakutafuna maneno baada ya kuona madai na moto wa katiba mpya ni mkali ajabu, akiuliza; Nani kawambieni kwamba Mhe Kikwete mwenyewe hapendi Kuandikwa KATIBA MPYA???

8. 'Mtoto wa Mkulima' alipofika kwenye kio (TV) akaja akaweka ngoma hadharani kabla ya kukataliwa na wengi; Mimi mwenzenu nitatumia nafasi yangu kama PM kumshauri Rais ateue JOPO LA WATAALAM kuipitia katiba na kushauri HATIMA YAKE NI NINI.

9. Mama Kombani baada ya pengine kutembelewa na malaika lakini bila kutafsiri nafasi na madaraka yake KIKATIBA akageuza muziki; Jamani sasa tayarisheni na mkaniletee mezani kwangu hizo Rasimu Sifuri zenu za KATIBA MPYA kwangu ili tupate kujua cha kufanya,

10. Jaji Mkuu Augustino Ramadhani naye hakufanya ajizi mpira wa KATIBA MPYA ulipomtwa miguuni na akaelekeza ngoma moja kwa moja kwenye nyavu; Wa-Tanzania kutaka KATIBA MPYA, hili nijambo ambalo tulihitajika tuwe tumeukamilisha tangu miaka majuzi.

11. Mzee Warioba, CCM Uadilifu lakini masikini, mshabuliaji wa UFISADI asiyechoka kitu hata siku moja, akatahadharisha serikali isicheleweshe zaidi kushughulikia suala la KATIBA MPYA.

12. Mzee wa RICHMOND / DOWANS, CCM Ufisadi Mabilionea, naye baada ya kutoka kanisani siku ya jumapili akaimarisha madai ya raia wenzake kwa kusema; Kwa usalama wa nchi yetu KATIBA MPYA haikwepeki.

13. Vuai Nahodha, waziri wa mambo ya ndani ambaye amepokelewa kazini na mitihani ya uchakachuaji na kupitishwa moja kwa moja kwenye tanuri la migomo vyouni, hasira limbikizi za wananchi kutaka kuandamana kila pembe ya nchi naye akapiga magoti chini na kusema; Wananchi chonde MSILETE VURUGU NA KUANDAMANA kwani vilio vyenu kutaka KATIBA MPYA vinashughulikiwa.

14. Werema, Mwanasheria Mkuu na Mshauri Mkuu wa SERIKALI kuhusu UTUNGAJI NA UTUMIAJI SHERIA MBALIMBALI (lakini si Mshauri wa Wananchi Juu ya UTUNGAJI KATIBA) naye akatia timu kwenye kio chetu cha taifa akisema; Sasa sisi kama serikali tumepata jibu sahihi hata bila ya Jopo la Wataalam au bila hata kupeleka popote hizo RASIMU SIFURI zenu za kutaka KATIBA MPYA.

Jibu lenyewe ambalo ni sahihi kabisa na kila mwananchi LAZIMA kuikubali ni kwamba 'WATANZANIA HAMUHITAJI KUANDIKA UPYA KATIBA BALI VIRAKA TU VICHACHE VINATOSHA.

15. Wanaharakati, Asasi za Kiraia, Wakulima vijijini, Vyama Vya Wafanyakazi, Vijana, Wana-JF, Vyama vya Siasa, Taasisi za Kidini na Vyuo Vikuu nchini nao wakasema; Saa ya Kuandikwa kwa KATIBA MPYA kwa njia Shirikishi kwa wananchi wote ni sasa.

16. Kesho au keshokutwa bado hatujui atajitokeza nani tena na kauli ipi; ....

Sasa mpaka hapo wananchi, zaidi ya hasira za kudhulumiwa haki ya kumchagua kiongozi umpendaye, mpaka sasa ni maelezo mkanganyiko kushoto na kulia sasa tushike lipi? Kwa hali hii ni aheri MAFISADI watuambie kama sasa JIBU ALIYOYATOA WEREMA SASA NDIO MSIMAMO RASMI WA SERIKALI ili tujue kimoja tangu sasa.

Kwetu VIJANA vyeo wanavyovigawana leo havituhusu bali macho yetu, fikra na roho zetu kila dakika zipo kwenye KATIBA MPYA. Na kama kweli ndilo jibu na msimamo rasmi wa serikali juu ya jambo hili la msingi na wa UMUHIMU WA PEKEE HASA KWETU VIJANA na walalahoi tuliowengi nchi hii basi nasi tunaomba kumshauri murua kwenu.

Kwa kuwa HAKI hua hauombwi wala kuletwa bila ya purukushani mivutano ya kujitakia MAFISADI, na watu kibao kuzidi kutuchanganya na kauli tata toka serikalini, je inamaa tushike lipi na tuache lipi sasa??? Kama vipi, basi tumuombe mwenzetu Saed Mwema akaagize upesi MA-BOMU YA MACHOZI YA KUTOSHA ya kutosha ili Mwaka Mpya madai ya KATIBA MPYA rasmi sasa yahamie uwanjani na tuondoke kulaghaiana KWENYE BOARD-ROOMS za watawala wasiosikiliza kitu

Kwa Kauli ya Werema tujue kimoja kama tayari ndio kusema kwamba hata hoja ya wananchi kupelekwa kule Bungeni Dodoma na Mhe Mnyika ndio hivyo tayari WATAWALA watakua wanajifariji kwamba wananchi tunapoteza tu wakati.
 
SERIKALI NA KAULI MKANGANYIKO JUU YA 'WANANCHI KUTAKA KUANDIKA KATIBA MPYA' SASA HIVI, NI ASHIRIO SAED MWEMA AGIZA MABOMU YA KUTOSHA MWAKA MPYA TUKAUANZE KABISA UWANJANI MPAKA KIELEWEKE??

Tangu CHADEMA kianzishe upya madai ya KATIBA MPYA na wananchi wengi wakatukonga nyoyo, kwingineko serikali imeshatoa kauli hamsini kidogo hadi hadi kero kwetu hivi sasa.

Kuna kauli kibao ambazo kwa kweli zinasumbua sana kuzipokea. Hii hali inatokana na hali ya mikanganya isioisha. Kila mmoja serikalini akijitokeza kwa vyombo vya habari na hili na yule nalile

Miongoni mwa kauli ambazo bado ziko vichwani mwetu ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili ni kama hivi hapa chini:

1. Makamba kujitokeza kasema; HAKUNA NAFASI YA KUSIKILIZWA MTU HAPA,

2. Chiligati; CHADEMA WASITULETEE UTANI HAPA, LETU NI KUWATIMUA WOTE KULE BUNGENI ili wakashike adabu,

3. Chiligati huenda akaja akakutana na Malaika; ... aaahhh, unajua haya madai ya CHADEMA ni ya msingi na YANAZUNGUMZIKA,

4. Mama Celina Kombani akaja na sura kiutawala zaidi; SUALA LA KATIBA kwetu kama Serikali HAPANA, NI GHARAMA KUBWA, MANENO YA MTAANI, NA WALA SI MUHIMU KWA SASA,

5. Mzee Tyson naye hakuondoka mdomo mkavu alipokutana na vyombo vya habari; Hili la MADAI YA KATIBA MPYA linaongeleka tu kati ya serikali na CHADEMA na wala halina shida.

Si unajua sisi kama serikali tunazo njia zetu nyingi tu za kutatua mambo kama haya. Na zaidi, zipo zile njia zetu nyingine ambazo KWA KAWAIDA HUA HATHITAJI KUZITANGAZA popote,

6. Jaji Mstaafu Mzee Bomani alipofika akanena; Suala hili ni halikwepeki na ninashauri Serikali iteue JOPO LA WATAALAM kuliangalia KATIBA na kubaini MAHITAJI yaliomo;

7. Mzee Ruksa alipofwatwa mapumzikoni kwake na waandishi wetu wa habari kwa matarajio ya BUSARA KATIKA HILI JAMBO ZITO KITAIFA nay alisema; Kwa nini Wa-Tanzania muhitaji KATIBA MPYA SASA HIVI, KUNA NINI???

8. Mwana-JF 'Dar es Salaam' inayosadikiwa kuwa ni sauti ya KIFICHONI cha aka JK naye hakutafuna maneno baada ya kuona madai na moto wa katiba mpya ni mkali ajabu, akiuliza; Nani kawambieni kwamba Mhe Kikwete mwenyewe hapendi Kuandikwa KATIBA MPYA???

8. 'Mtoto wa Mkulima' alipofika kwenye kio (TV) akaja akaweka ngoma hadharani kabla ya kukataliwa na wengi; Mimi mwenzenu nitatumia nafasi yangu kama PM kumshauri Rais ateue JOPO LA WATAALAM kuipitia katiba na kushauri HATIMA YAKE NI NINI.

9. Mama Kombani baada ya pengine kutembelewa na malaika lakini bila kutafsiri nafasi na madaraka yake KIKATIBA akageuza muziki; Jamani sasa tayarisheni na mkaniletee mezani kwangu hizo Rasimu Sifuri zenu za KATIBA MPYA kwangu ili tupate kujua cha kufanya,

10. Jaji Mkuu Augustino Ramadhani naye hakufanya ajizi mpira wa KATIBA MPYA ulipomtwa miguuni na akaelekeza ngoma moja kwa moja kwenye nyavu; Wa-Tanzania kutaka KATIBA MPYA, hili nijambo ambalo tulihitajika tuwe tumeukamilisha tangu miaka majuzi.

11. Mzee Warioba, CCM Uadilifu lakini masikini, mshabuliaji wa UFISADI asiyechoka kitu hata siku moja, akatahadharisha serikali isicheleweshe zaidi kushughulikia suala la KATIBA MPYA.

12. Mzee wa RICHMOND / DOWANS, CCM Ufisadi Mabilionea, naye baada ya kutoka kanisani siku ya jumapili akaimarisha madai ya raia wenzake kwa kusema; Kwa usalama wa nchi yetu KATIBA MPYA haikwepeki.

13. Vuai Nahodha, waziri wa mambo ya ndani ambaye amepokelewa kazini na mitihani ya uchakachuaji na kupitishwa moja kwa moja kwenye tanuri la migomo vyouni, hasira limbikizi za wananchi kutaka kuandamana kila pembe ya nchi naye akapiga magoti chini na kusema; Wananchi chonde MSILETE VURUGU NA KUANDAMANA kwani vilio vyenu kutaka KATIBA MPYA vinashughulikiwa.

14. Werema, Mwanasheria Mkuu na Mshauri Mkuu wa SERIKALI kuhusu UTUNGAJI NA UTUMIAJI SHERIA MBALIMBALI (lakini si Mshauri wa Wananchi Juu ya UTUNGAJI KATIBA) naye akatia timu kwenye kio chetu cha taifa akisema; Sasa sisi kama serikali tumepata jibu sahihi hata bila ya Jopo la Wataalam au bila hata kupeleka popote hizo RASIMU SIFURI zenu za kutaka KATIBA MPYA.

Jibu lenyewe ambalo ni sahihi kabisa na kila mwananchi LAZIMA kuikubali ni kwamba 'WATANZANIA HAMUHITAJI KUANDIKA UPYA KATIBA BALI VIRAKA TU VICHACHE VINATOSHA.

15. Wanaharakati, Asasi za Kiraia, Wakulima vijijini, Vyama Vya Wafanyakazi, Vijana, Wana-JF, Vyama vya Siasa, Taasisi za Kidini na Vyuo Vikuu nchini nao wakasema; Saa ya Kuandikwa kwa KATIBA MPYA kwa njia Shirikishi kwa wananchi wote ni sasa.

16. Kesho au keshokutwa bado hatujui atajitokeza nani tena na kauli ipi; ....

Sasa mpaka hapo wananchi, zaidi ya hasira za kudhulumiwa haki ya kumchagua kiongozi umpendaye, mpaka sasa ni maelezo mkanganyiko kushoto na kulia sasa tushike lipi? Kwa hali hii ni aheri MAFISADI watuambie kama sasa JIBU ALIYOYATOA WEREMA SASA NDIO MSIMAMO RASMI WA SERIKALI ili tujue kimoja tangu sasa.

Kwetu VIJANA vyeo wanavyovigawana leo havituhusu bali macho yetu, fikra na roho zetu kila dakika zipo kwenye KATIBA MPYA. Na kama kweli ndilo jibu na msimamo rasmi wa serikali juu ya jambo hili la msingi na wa UMUHIMU WA PEKEE HASA KWETU VIJANA na walalahoi tuliowengi nchi hii basi nasi tunaomba kumshauri murua kwenu.

Kwa kuwa HAKI hua hauombwi wala kuletwa bila ya purukushani mivutano ya kujitakia MAFISADI, na watu kibao kuzidi kutuchanganya na kauli tata toka serikalini, je inamaa tushike lipi na tuache lipi sasa??? Kama vipi, basi tumuombe mwenzetu Saed Mwema akaagize upesi MA-BOMU YA MACHOZI YA KUTOSHA ya kutosha ili Mwaka Mpya madai ya KATIBA MPYA rasmi sasa yahamie uwanjani na tuondoke kulaghaiana KWENYE BOARD-ROOMS za watawala wasiosikiliza kitu

Kwa Kauli ya Werema tujue kimoja kama tayari ndio kusema kwamba hata hoja ya wananchi kupelekwa kule Bungeni Dodoma na Mhe Mnyika ndio hivyo tayari WATAWALA watakua wanajifariji kwamba wananchi tunapoteza tu wakati.

Tunakoelekea tunao uwezo wa kubadilisha historia kwa njia mbili. 1) Tunaweza kuijenga katiba mpya kwa mpangilio wa amani na tukafanikiwa. 2)Tunaweja kujenga katiba mpya kwa kubandikiwa na kusukumwa na wanaolinda masilahi yao na hapo itabidi serikari iagize mabomu ya ziada, kiwanda cha risasi kiongeze production etc. Kwa kweli hali ya mtanzania kuipata katíba mpya bila kupitia njia walizopitia jirani inazidi kuwa giza kila kunavyokucha (ulimsikia AG).
T-Shirt za "Slaa -katiba Mpya" zinatoka lini?
 
Kwa kweli tungependa kujiandikia KATIBA yetu MPYA bila ya vurumai yoyote nchini mwetu kama hatu ya kutafuta kuimarisha zaidi umoja wetu wa kitaifa na kuyafungia mbali zaidi yale yote yanayotugonganisha na kutugawa kama Wa-Tanzania.

Lakini kwa mtindo huu ambapo watawala wanaonekana kujitia vichwa ngumu na kutaka madiliko ya katiba kutoka juu badala ya kutumia njia shirikishi, naona sana kuna shida kubwa ambalo hakuna lingine bali ni kukabiliana nalo head-on kama gharama yenyewe ya mabadiliko kulipa.

Na katika hali ya aina hii watawala wakumbuke kwamba wananchi tukisukumwa saaannaa kusiko na basi wasukumaji wenyewe ni sharti wajikumbushe nini huwa unatokea unapomkabili mmbwa koko wa nyumba ya jirani halafu itokee kwamba mbele kuna uzio usiomruhusu mmbwa koko huyo kupata pakukimbilia zaidi ....
 





14. Werema, Mwanasheria Mkuu na Mshauri Mkuu wa SERIKALI kuhusu UTUNGAJI NA UTUMIAJI SHERIA MBALIMBALI (lakini si Mshauri wa Wananchi Juu ya UTUNGAJI KATIBA) naye akatia timu kwenye kio chetu cha taifa akisema; Sasa sisi kama serikali tumepata jibu sahihi hata bila ya Jopo la Wataalam au bila hata kupeleka popote hizo RASIMU SIFURI zenu za kutaka KATIBA MPYA.

Jibu lenyewe ambalo ni sahihi kabisa na kila mwananchi LAZIMA kuikubali ni kwamba 'WATANZANIA HAMUHITAJI KUANDIKA UPYA KATIBA BALI VIRAKA TU VICHACHE VINATOSHA.

Mkoa wa Mara haujawahi kutoa Kiongozi Bomu kama Huyu, sijui huyu ni mura wa wapi hata asiyejua maghari gha tata. hovyo kabisa hivi yeye hastaafu??
 
Kwa kweli Werema amewakera mno Wa-Tanzania wenzake kwa kiwango ambacho hakielezeki.

Bahati zuri tu ni kwamba wananchi wameelimishwa vya kutosha na vyombo vya habari kwamba HAKI YAO JUU YA KATIBA hata rais wa nchi hana mamla ya kuyazuia hata kidogo.

Kwa hiyo ni kwamba Mhe Werema sana sana amechangia tu kutuamsha zaidi ari ya kufanya hii kazi ya kuandika katiba mpya kwa njia shirikishi zaidi, basi.
 
SERIKALI NA KAULI MKANGANYIKO JUU YA 'WANANCHI KUTAKA KUANDIKA KATIBA MPYA' SASA HIVI, NI ASHIRIO SAED MWEMA AGIZA MABOMU YA KUTOSHA MWAKA MPYA TUKAUANZE KABISA UWANJANI MPAKA KIELEWEKE??

Tangu CHADEMA kianzishe upya madai ya KATIBA MPYA na wananchi wengi wakatukonga nyoyo, kwingineko serikali imeshatoa kauli hamsini kidogo hadi hadi kero kwetu hivi sasa.

Kuna kauli kibao ambazo kwa kweli zinasumbua sana kuzipokea. Hii hali inatokana na hali ya mikanganya isioisha. Kila mmoja serikalini akijitokeza kwa vyombo vya habari na hili na yule nalile

Miongoni mwa kauli ambazo bado ziko vichwani mwetu ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili ni kama hivi hapa chini:

1. Makamba kujitokeza kasema; HAKUNA NAFASI YA KUSIKILIZWA MTU HAPA,

2. Chiligati; CHADEMA WASITULETEE UTANI HAPA, LETU NI KUWATIMUA WOTE KULE BUNGENI ili wakashike adabu,

3. Chiligati huenda akaja akakutana na Malaika; ... aaahhh, unajua haya madai ya CHADEMA ni ya msingi na YANAZUNGUMZIKA,

4. Mama Celina Kombani akaja na sura kiutawala zaidi; SUALA LA KATIBA kwetu kama Serikali HAPANA, NI GHARAMA KUBWA, MANENO YA MTAANI, NA WALA SI MUHIMU KWA SASA,

5. Mzee Tyson naye hakuondoka mdomo mkavu alipokutana na vyombo vya habari; Hili la MADAI YA KATIBA MPYA linaongeleka tu kati ya serikali na CHADEMA na wala halina shida.

Si unajua sisi kama serikali tunazo njia zetu nyingi tu za kutatua mambo kama haya. Na zaidi, zipo zile njia zetu nyingine ambazo KWA KAWAIDA HUA HATHITAJI KUZITANGAZA popote,

6. Jaji Mstaafu Mzee Bomani alipofika akanena; Suala hili ni halikwepeki na ninashauri Serikali iteue JOPO LA WATAALAM kuliangalia KATIBA na kubaini MAHITAJI yaliomo;

7. Mzee Ruksa alipofwatwa mapumzikoni kwake na waandishi wetu wa habari kwa matarajio ya BUSARA KATIKA HILI JAMBO ZITO KITAIFA nay alisema; Kwa nini Wa-Tanzania muhitaji KATIBA MPYA SASA HIVI, KUNA NINI???

8. Mwana-JF 'Dar es Salaam' inayosadikiwa kuwa ni sauti ya KIFICHONI cha aka JK naye hakutafuna maneno baada ya kuona madai na moto wa katiba mpya ni mkali ajabu, akiuliza; Nani kawambieni kwamba Mhe Kikwete mwenyewe hapendi Kuandikwa KATIBA MPYA???

8. 'Mtoto wa Mkulima' alipofika kwenye kio (TV) akaja akaweka ngoma hadharani kabla ya kukataliwa na wengi; Mimi mwenzenu nitatumia nafasi yangu kama PM kumshauri Rais ateue JOPO LA WATAALAM kuipitia katiba na kushauri HATIMA YAKE NI NINI.

9. Mama Kombani baada ya pengine kutembelewa na malaika lakini bila kutafsiri nafasi na madaraka yake KIKATIBA akageuza muziki; Jamani sasa tayarisheni na mkaniletee mezani kwangu hizo Rasimu Sifuri zenu za KATIBA MPYA kwangu ili tupate kujua cha kufanya,

10. Jaji Mkuu Augustino Ramadhani naye hakufanya ajizi mpira wa KATIBA MPYA ulipomtwa miguuni na akaelekeza ngoma moja kwa moja kwenye nyavu; Wa-Tanzania kutaka KATIBA MPYA, hili nijambo ambalo tulihitajika tuwe tumeukamilisha tangu miaka majuzi.

11. Mzee Warioba, CCM Uadilifu lakini masikini, mshabuliaji wa UFISADI asiyechoka kitu hata siku moja, akatahadharisha serikali isicheleweshe zaidi kushughulikia suala la KATIBA MPYA.

12. Mzee wa RICHMOND / DOWANS, CCM Ufisadi Mabilionea, naye baada ya kutoka kanisani siku ya jumapili akaimarisha madai ya raia wenzake kwa kusema; Kwa usalama wa nchi yetu KATIBA MPYA haikwepeki.

13. Vuai Nahodha, waziri wa mambo ya ndani ambaye amepokelewa kazini na mitihani ya uchakachuaji na kupitishwa moja kwa moja kwenye tanuri la migomo vyouni, hasira limbikizi za wananchi kutaka kuandamana kila pembe ya nchi naye akapiga magoti chini na kusema; Wananchi chonde MSILETE VURUGU NA KUANDAMANA kwani vilio vyenu kutaka KATIBA MPYA vinashughulikiwa.

14. Werema, Mwanasheria Mkuu na Mshauri Mkuu wa SERIKALI kuhusu UTUNGAJI NA UTUMIAJI SHERIA MBALIMBALI (lakini si Mshauri wa Wananchi Juu ya UTUNGAJI KATIBA) naye akatia timu kwenye kio chetu cha taifa akisema; Sasa sisi kama serikali tumepata jibu sahihi hata bila ya Jopo la Wataalam au bila hata kupeleka popote hizo RASIMU SIFURI zenu za kutaka KATIBA MPYA.

Jibu lenyewe ambalo ni sahihi kabisa na kila mwananchi LAZIMA kuikubali ni kwamba 'WATANZANIA HAMUHITAJI KUANDIKA UPYA KATIBA BALI VIRAKA TU VICHACHE VINATOSHA.

15. Wanaharakati, Asasi za Kiraia, Wakulima vijijini, Vyama Vya Wafanyakazi, Vijana, Wana-JF, Vyama vya Siasa, Taasisi za Kidini na Vyuo Vikuu nchini nao wakasema; Saa ya Kuandikwa kwa KATIBA MPYA kwa njia Shirikishi kwa wananchi wote ni sasa.

16. Kesho au keshokutwa bado hatujui atajitokeza nani tena na kauli ipi; ....

Sasa mpaka hapo wananchi, zaidi ya hasira za kudhulumiwa haki ya kumchagua kiongozi umpendaye, mpaka sasa ni maelezo mkanganyiko kushoto na kulia sasa tushike lipi? Kwa hali hii ni aheri MAFISADI watuambie kama sasa JIBU ALIYOYATOA WEREMA SASA NDIO MSIMAMO RASMI WA SERIKALI ili tujue kimoja tangu sasa.

Kwetu VIJANA vyeo wanavyovigawana leo havituhusu bali macho yetu, fikra na roho zetu kila dakika zipo kwenye KATIBA MPYA. Na kama kweli ndilo jibu na msimamo rasmi wa serikali juu ya jambo hili la msingi na wa UMUHIMU WA PEKEE HASA KWETU VIJANA na walalahoi tuliowengi nchi hii basi nasi tunaomba kumshauri murua kwenu.

Kwa kuwa HAKI hua hauombwi wala kuletwa bila ya purukushani mivutano ya kujitakia MAFISADI, na watu kibao kuzidi kutuchanganya na kauli tata toka serikalini, je inamaa tushike lipi na tuache lipi sasa??? Kama vipi, basi tumuombe mwenzetu Saed Mwema akaagize upesi MA-BOMU YA MACHOZI YA KUTOSHA ya kutosha ili Mwaka Mpya madai ya KATIBA MPYA rasmi sasa yahamie uwanjani na tuondoke kulaghaiana KWENYE BOARD-ROOMS za watawala wasiosikiliza kitu

Kwa Kauli ya Werema tujue kimoja kama tayari ndio kusema kwamba hata hoja ya wananchi kupelekwa kule Bungeni Dodoma na Mhe Mnyika ndio hivyo tayari WATAWALA watakua wanajifariji kwamba wananchi tunapoteza tu wakati.

Kabla haujaamua kupambana na vijana wa SAEED MWEMA( jambo ambalo najua huwezi,na hamuwezi).. hebu tupe kasoro 10 zilizopo kwenye katiba ya sasa.. kisha tupe mapendekezo 15 unayotaka yawepo kwenye katiba mpya (kama kweli itatungwa),,,, maana isije ikwa nawe ndio walewale mnaocheza LIZOMBE wakati mdundo ni KIBAO KATA
 
Kabla haujaamua kupambana na vijana wa SAEED MWEMA( jambo ambalo najua huwezi,na hamuwezi).. hebu tupe kasoro 10 zilizopo kwenye katiba ya sasa.. kisha tupe mapendekezo 15 unayotaka yawepo kwenye katiba mpya (kama kweli itatungwa),,,, maana isije ikwa nawe ndio walewale mnaocheza LIZOMBE wakati mdundo ni KIBAO KATA

Hata kasoro moja hupewi wewe, kasoro hizo unatakiwa uje na zako, nije na zangu na wengine na zao KWENYE MKUTANO RASMI YA TAIFA ndipo kasoro na mapendekezo yatakakotolewa. Kazi hii muhimu kamwe haitofanya kwa mtindo huu wa kimasihara unaitaka hivi sasa.

Pili, nyuma ya fikra zako wakati wa kuuliza swali lako zuri hili naona wewe ni miongoni mwao wale Wa-Tanzania mnaojifariji kwa fikra potofu ya kwamba tuliowengi ni mambumbumbu wala hatuelewi kiyu.

These kinds of presumtuous positions are extremely dangerous to our nation and more so to yourselves. I say to yourselves because the very preconception most invalidly form the foundations upon which you make your decisions. And guest what, it tells all smart minds why your decisions will continue to be so unpopular as song as the detatchment between the decision maker and the real universe remain far apart.

Don't feel ashamed to confess that I verily read the cloud in your mind right now as it is. Participatory constitutionalisation in the best way to go. As such start preparing your our areas of recommendations too. Tell your darling CCM to the same now.
 
Halafu NotraDomme, kwingineko mnakopotelea zaidi ni kule kufikiria ya kwamba ni kutoa kasoro tu hii katiba zee.

Hapana, ni kwamba pia tumefikiria kuwa wabunifu zaidi kuleta mawazo mapia kabisaaa ambayo wala hayakuwahi kwemo humo ndani. Si jambo jema kufikiri kwamba polisi si ndugu zetu, watoto wale wale wa wakulima tunaoporwa rasilmali za taifa, nao wana uchungu sana usiombe. Usije ukawaona wengi sana hapo kumbe wanaopewa gawio na mafisadi wala hawafikii robo. Angalia!!!

Haya yote ni katika kutafuta kuimarisha zaidi umoja wetu kitaifa na kuziba kabisa mianya ya ufisadi.inanipa furaha kutambua ya kwamba wewe hapo si fisadi, huifadhili na wala huishabikii hivyo hautopata shida pindi tutakapofanya hivyo.
 
Uwezo Tunao,

naona maombi yako Saed Mwema kuagiza mabomu zaidi ya kutoa machozi juu ya swala zima la madai ya katiba mpya, wale wakali wa mageuzi CUF wameshayafanyia kabisa uzinduzi mabomu hayo hapo jana.
 
Wallet uko right, nimecheki spellings mahala kweli ni Saidi na wala si Saed. Hata hivyo, vipi ule mziki wa CUF jana uliuona??
 
Back
Top Bottom