Kwa kauli hizi naamini Zitto Kabwe ni raia wa Burundi

Kwani uzalendo mpaka mtu aunge mkono hoja ya makinikia?

Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake jamani ,Hapo zito ametekeleza wajibu wake wa kikatiba mengine mnayatafsili nyinyi.
No, hata kama unajua huwezi kujivuna kiasi hicho. Zitto amepitiliza. "Hawa hawa anaowakejeli ndio waliomfikisha hapo alipo.Tunajua!"

Tatizo ni kwamba anadhani anachokijua yeye ndicho sahihi.Ni vema watu wakajua kwamba there are more than three ways of doing the same thing.A higher level of IQ and knowledge enables one to identify the best alternative.Sioni Kama Zitto ana either of these two,kwa hiyo majigambo yake ni unjustified.Infact majigambo yake yana drive the point home,kwamba IQ yake na knowledge ni ndogo.I pity him.
 
Si huyu huyu aliyeibua huu mjadala bungeni 2007 au ni mwingine?
Kuna nongwa gani hoja yake kufanziwa kazi sasa?
Au amekwisha sahau?
Badala ya kuwakatisha tamaa wataalamu wetu na Mh.Rais JPM,ni vyema akashauri the way forward.
Zitto ana utaalam gani mkuu, hiyo ngwini,tena undergraduate!Acheni kupachika watu sifa wasizokuwa nazo. Zitto kilichompaisha ni kukubali kwake "kutumika,"otherwise hamna kitu.
 
Zitto ana utaalam gani mkuu, hiyo ngwini,tena undergraduate!Acheni kupachika watu sifa wasizokuwa nazo. Zitto kilichompaisha ni kukubali kwake "kutumika,"otherwise hamna kitu.
Mkuu soma vizuri maandishi yangu.
Hakuna sehemu nilipoandika kuwa ZK ni mtaalamu.
ZK ni mwanasiasa tu aliyetumia jukwaa/bunge kuibua baadhi ya hoja ambazo wakati mwingine anazipinga.(refer 2007 bunge season @buzwagi&co saga na hicho alichoandika/post 2017@twiter).
 
Wkt mnaunda nae ACT ili apambane na Lowassa kwenye Uchaguzi wa 2015 ,Zitto alikua MTanzania ila leo mmpishana nae kwenye Makinikia amekua Mrundi.

Asee pambaneni na shida zenu aisee.
 
Mkuu soma vizuri maandishi yangu.
Hakuna sehemu nilipoandika kuwa ZK ni mtaalamu.
ZK ni mwanasiasa tu aliyetumia jukwaa/bunge kuibua baadhi ya hoja ambazo wakati mwingine anazipinga.(refer 2007 bunge season @buzwagi&co saga na hicho alichoandika/post 2017@twiter).
Oh, I am sorry mkuu, nimekuelewa.Kumbe ulikuwa unasema Zitto ndiye anayewakatisha tamaa wataalam wetu! Ni kweli,kauli yake ina utata na very discouraging.
 
Leo, nimemsikisa Mrema, akisema kuwa mpinzani wa chama cha siasa siyo kigezo cha kupinga kila jambo linalofanywa na serikali.

Ndiyo nimeelewa tofauti ya Mrema na Zitto na Wanasiasa uchwara wengine kuwa siasa siyo uadui na kupinga hadi kutusi watu.
 
Tatizo kwenye hii issue ya mchanaga kila mwanasiasa anataka aonekane yeye ndiye mwasisi wa vita hii ndio maana wengi wao mpaka sasa tumeshindwa kuelewa rangi yao halisi ya ktk vita hii .....Piga kazi Rais wetu kwa hili usirudi nyuma

Ndio shida ya wanasiasa wajinga, nimesoma tamko la CHADEMA lina maneno kwamba Magufuli sio wa kwanza kuanzisha hii vita, sasa sijui wanamtaka aliyeanzisha ambao wanajinadi ni wao (si vibaya kama ni wao) atambulike kuwa ni wao so what!!! Akili za hawa jama zimekuwa makinikia kweli kweli!!!!!
 
View attachment 524969
Upumbavu wa wanasiasa wengi ni kufikiri kwamba wao ndo wanaakili na kujua mambo kuliko viongozi walio madarakani. Na mmoja wa hao ni huyu zero brain Zitto Kabwe

Nchi yenye wasomi sampuli ya mhe Zitto, nchi yangu Tanzania. Ni másikitiko makubwa pale wasomi hawa wanaojitanabaisha kwamba wana maarifa 'kamili' yaani yasiyo 'nusu'
wamekuwa siku zote wakikosoa na kulalama pale maslahi ya nchi yanapoporwa na baadae wenye maarifa'nusu' wakiamua kufanya jambo, wenye maarifa'kamili' kama ilivyo kawaida yao, huja na malalamiko mengine.

By the way Mimi nashangazwa sana na sampuli hii ya wasomi! . Kama nia yao ni njema, nadhani wangeonesha ushirikiano kama Rais Magufuli alivyoonesha njia. . Kulalama tu hakusaidii unless hiyo ndo definition ya upinzani.
Itabainika tu kama kuna namna anahusika kwenye sakata hili na unafiki wake utawekwa wazi
 
MTOA MADA mwisho wa siku angalia comment yenye like nyingi uangalie imeegemea wapi. Byeeee
 
maccm yaani majinga kwelikweli, yakiambiwa ukweli povu hiloo!
Acha ujinga wewe. Au unafikiri wote humu jf ni wana CCM
Tunachotetea ni rsasilimali za taifa hili na penye ukweli, ukweli ubaki kuwa ukweli na tumuunge mkono rais wetu. Sio kuyumbishwa na hawa wasomi uchwara kama kina Zito
Cku zote vyama pinzan haviwez kuunga mkoni chama tawala na haiwezi kutokea na wasipo fanya hivyo kutakua hakuna maana ya kuepo upinzani
 
Ndio shida ya wanasiasa wajinga, nimesoma tamko la CHADEMA lina maneno kwamba Magufuli sio wa kwanza kuanzisha hii vita, sasa sijui wanamtaka aliyeanzisha ambao wanajinadi ni wao (si vibaya kama ni wao) atambulike kuwa ni wao so what!!! Akili za hawa jama zimekuwa makinikia kweli kweli!!!!!
Juzi nilisema humu hii vita imekosa maana baada ya kugeuka ni vita ya CCM Vs CDM kila mtu analilia recognition, utasikia wanasema mbona tuliwaambia miaka 17 iliyopita hamkutusikia......, mbona tuliongea bungeni mkatuzomea...., tunampongeza Raisi kwa kufanyia kazi maoni ya ukawa..,

Na Raisi nae hataki kusema ni kweli ndugu zetu wapinzani waliwahi kuyasema haya.... Badala yake anauliza ni nani aliyetuloga! {Ina maana naye anajinasibu kama muanzilishi wa hili}

Basi kama wapinzani waliyasema na leo yamefanyiwa kazi basi si ndo wafurahi? Au waseme wanataka yafanywe kwa namna ipi, hii ya kuitana mazwazwa, mabwege, wapenda sifa, wakurupukaji n.k ni wazi haitusaidii zaidi yakutuvuruga. Au mnagombania KIKI wenzetu? Mnatuchosha sisi wa CHAUMA teh teh!
 
Wanasiasa waliowengi hufikiri wana akili
Sana kuliko watu wengine (wananchi). Kumbe ndio pekee wanaojua Kusoma na kuandika.
Na pia si wazalendo kabisa ni wa ajabu Sana.
.....Kuna siku mtakuja kutuambia kwa kuwa hatuli ugali kila siku basi sisi sio wazalendo. Hivi kweli mnategea watanzani milioni 50 wooote wawe na mawazo ya aina moja ???
 
Back
Top Bottom